JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Afisa Mhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara katika picha mara baada ya kufunga ndoa kwa mke wake wa pili jioni ya Alhamisi Aprili 14, 2022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelele zote zile kumbe kutafuta kiki ya ndoa
Sasa mtu kashachezewa washeri anatoa nguvu wapi?Naskia hawezi kupiga show+ana gubu
Na cha ajabu zaidi wote wamevaa uzi/rangi za kupendeza za taifa kubwa Simba.Cha ajabu makolo wanakasirka jamaa kuvuta jiko
Inaelekea Mzee Shein ana amani sana katika ndoa yake.Hivi kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wote wa Tanzania isipokuwa Raisi Shein yeye yuko na Mke wake wa zamani.