JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kelele zote zile kumbe kutafuta kiki ya ndoa
Sasa mtu kashachezewa washeri anatoa nguvu wapi?Naskia hawezi kupiga show+ana gubu
Na cha ajabu zaidi wote wamevaa uzi/rangi za kupendeza za taifa kubwa Simba.Cha ajabu makolo wanakasirka jamaa kuvuta jiko
Inaelekea Mzee Shein ana amani sana katika ndoa yake.Hivi kwa nini Waislamu wa Tanzania Mke wa kwanza mweusi Mwafrika akipata hela kufanikiwa mke wa pili ni mwarabu/nusu Mwarabu na ni Waislamu wote wote wa Tanzania isipokuwa Raisi Shein yeye yuko na Mke wake wa zamani.