Picha: Haji Manara aoa mke wa pili jioni ya Aprili 14, 2022

Halafu naskia huyu mzungu wetu anapenda ile michezo michafu.......Naskia ni mf.ira mashoga mashuhuri
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila dini inamruhusu mwanaume kupewa mda wotee anaruhusiwa kuweka vitanda mpk jikoni ,popote,wakati wote
Alafu wengine wanataka mshedede kila SAA wengine wanakimbia dah
 
Alafu wengine wanataka mshedede kila SAA wengine wanakimbia dah
Hahahaha....kweli tumetofautiana wanadamu
Wale maslay kwini ndo maana kwanza wanataka mda wote wapendeze show off haji atafute mke sio wauza sura
 
Ukioa mwanamke wa kiarabu unakuwa na kibarua cha kumlisha pilau la mbuzi au biriani kila leo, kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi uhamiaji akawa na vihela vya kutambia mjini akampta mtoto wa kiarabu na kumuoa , mtoto wa kiarabu hala ugali wala wali maharage, yeye ni pilau au biriani la mbuzi kila kukicha kakosa sana wali wa nanzi na samaki wa kupaka, jamaa hali ikaanza kuwa tete kwa kutaka kumridhisha binti wa kiarabu, matokeo yake akafukuzwa kazi kwa kukiuka maadili ya kazi ili amridhishe mtoto wa kiarabu, na hatimae baada ya kuona mume hana kazi mtoto wa kiarabu naye akatimuka na kumuacha jamaa. halafu wanawake wa kiarabu ni wachoyo balaa hasa kwa shemeji wamatumbi hawataki watuone majumbani mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…