Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike


Na huwezi mpata kwa sababu umetoa mimba lazima uombe upewe huyo wa haram unayemwona saiv hafai....
 
Umefanya vizur kutotangaza kweny media toka ukiwa na mimba ingekuwa wengine hapo mimba Ina siku moja tu wangelushia hewan na ikiwa na mwezi mmoja had mbinguni watu wangejua na ndy maana na mimba zenyewe wanazaa hewa na kuambulia kujamba tu.
 
Umefanya vizur kutotangaza kweny media toka ukiwa na mimba ingekuwa wengine hapo mimba Ina siku moja tu wangelushia hewan na ikiwa na mwezi mmoja had mbinguni watu wangejua na ndy maana na mimba zenyewe wanazaa hewa na kuambulia kujamba tu.

AHAhahahah hahaahaahah khaaa yani humu kuna vichaa sijawahi kuona
 
Sijui akizaa mtaficha Wapi sura Zenuu... Nyie mnaangalia kwa Macho wenzenu wameenda Kupima kabisa

hivi unacheza na kiumbe anayeitwa binadamu?? hata akizaa watakuja na jipya tuu ili mradi kunyima mwezao usingizi.
 
mkuu kumbuka zari if at all ni mjamzito itakuwa ni mimba ya nne, sasa sijui unaanzaje kufananisha na hamisa mimba ya kwanza, msubiri hamisa azae mara tatu alafu utuletee tumbo lake hapa, ndio utagundua zari anamwili mzuri kuwahi tokea.

Kweli, zari na hamisa wana tofauti ya umri na maternity
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…