Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike

Picha: Hamissa Mobeto ajifungua mtoto wa kike

Mmmh...
 

Attachments

  • 1428780605715.jpg
    1428780605715.jpg
    95.4 KB · Views: 318
Baraka za watoto nazijua cz na ushahidi istoshe wengi wanapata mimba wanazitoa mwisho w cku ndio vilio.angalia cku hizi vijana wengi w kiume wanapenda kua n watoto kuliko kuoa

mtoto ni mtoto tu na hawa so called haramu watu wanawatafuta hadi kwa ndumba na kulala makaburini hawawapati.
mie zimeingia zenyewe zile nyeupeee zikakaaa na kizygote kikatunga
watu waache kufuru
 
na sio wote waliozaa nje wana tamaa au hawajielewi
na hamna mtu mwenye haki ya kuita mtoto wa mwenzie eti haramu is it...?!
mie mtu asiezaa siwezi mkashifu maana wapo ht hawajawahi kutoa mimba na hawana ht watoto hao I FEEL THEIR PAIN nna aunt yangu jamani yuko hvyo
ila km wamekaangia chips mayai shauri zao
mimi binafsi sikuzaliwa kwenye ndoa nimeona jinsi gani nimepata shida ukiwa kwa mama unajiona hauko kwenu ukiwa kwa baba ivyo ivyo maana hao wote wanaishi na watu ambao mmoja si mzazi wako kiasi kwamba iyo hali ilinitesa sana...nikaapa sitazaa bila kuolewa maana niliogopa nisije nikazaa namtu nisiolewa mwanangu yakamkuta yalonikuta unaweza ukaolewa na mwingine hata asimpende uyo mwanao.....nashukuru mungu nimeolewa na ninawatoto wa3 wa mwisho nimejifungua miezi 2 ilopita tu
 
All in all aliekupa wewe ndio amenyima mwingine na sio wote wasiozaa wametoa mimba wakati mwingine wekeni akiba ya maneno kuzaa sikupata wako walozaa wanajuta kuwazaa hao watoto wako walozaa na mungu akawachukua wote.....hayo ni machungu makubwa kuliko huyo asiepata mtoto kesho yako huijui ni hayo tu..

Naachaje sasa kukuongezea rep power kwa hili lijicomment??
Umeongea kikubwa!
 
Hey,huu mjadala sitaki kuuendeleza maana sio pumzi tokea asubuhi niko nayo.
Hata hivyo huwezi kusema nina short temper kutokana na approaching yako.Ulitegemea nikuchekee? Wewe umeyaona mazuri yale? Inshort umenikera sana na hata hivyo nilitaka nikupotezee ila nikaamua kujibu mapigo na mie.
Anyways,kwaheri.

Nifa kama ww ni mwanamke naomba huu mdomo na maneno yako yawe ya jf tu(kufurahisha genge na kijiumaarufu) ila kama uko hivyo in real life I see we ni ile design ya wadada wa vigodoro.. yaan kuna vile vidada flan hivi vya uswazi vilivyobahatika kusogeza madarasa(from the way u write unaonekana hujaishia la 7 D) maana waandishi wa type yako ni kina dougie master(thou yeye nahisi hamna shule) wale kina ashaboko, ashangedere yaan kigodoro style... maana unaropoka mpaka unapoteza haiba ya kike #kisrani
 
mimi binafsi sikuzaliwa kwenye ndoa nimeona jinsi gani nimepata shida ukiwa kwa mama unajiona hauko kwenu ukiwa kwa baba ivyo ivyo maana hao wote wanaishi na watu ambao mmoja si mzazi wako kiasi kwamba iyo hali ilinitesa sana...nikaapa sitazaa bila kuolewa maana niliogopa nisije nikazaa namtu nisiolewa mwanangu yakamkuta yalonikuta unaweza ukaolewa na mwingine hata asimpende uyo mwanao.....nashukuru mungu nimeolewa na ninawatoto wa3 wa mwisho nimejifungua miezi 2 ilopita tu

aiseeh pole sana hiyo ndio niliyokua nawaambia wenzangu waache kuponda kuna victims humu
eti mtu anaita we ni haramu hapo nnapinga sana
mie nimezaliwa ndoani ila nna first time b4 marriage
and am sorry kwa popote nilipokukwaza
 
tehteh naomba uanachama kwanza siezi ingia bila bisha hodi mara3 nsije tolewa pichu mkononi....

Tumekupokea kwa mikono minne, ngoja nimuite Dinazarde akuapishe viapo vyote kuwa utapenda umbea wakati wote na uko tayar kufungwa jela miaka 3 au kulipa faini kwa ajili ya umbea
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom