Mama usiite ushenzi buannaa plz!
Kwa iyo unamaanisha watoto wanaopatikana hapo ni washenzi?
Mhuuu😕
Kuzaa nje ya ndoa ni zambi kama kutombeka tuu! Sema kunaacha alama! Tumwache Mungu aseme sio sisi vitombeko.Tena anayezaa ni jasiri kuliko anayetoa.
Unaumwa pumbuja wewe
Basi team wema...
Lulu na linah walikuwa wanamkashfu zari tu, hawana mimba
Mmmmh,ila mbona Linah kama ana mimba kweli jamani?
mtoto wa nani?majay
Sasa utombeke wee ukipata mimba uipeleke wapi?
Watu wana hukumu zao na Mungu pia.Mie nawapa big up.
Wazae tu kuliko kutoa
Cna team ushuzi mimi za division five
Wanazaa kwani wanapenda? Si wanadanganywa kuolewa na mali za mabwana zao, faiza kazaa na mbunge na bado analalamika matumizi ya mtoto hapeleki, waache kumanua manua ovyo uwezo wenyewe hawana.
Hivi kile kipini aliyemshauri nani?
Walikuwa wanamkashfu zari, jana pia salma msangi alijifanya ana tumbo kubwa akasema kashiba ugali
Walikuwa wanamkashfu zari, jana pia salma msangi alijifanya ana tumbo kubwa akasema kashiba ugali
Wana wivu...huu ni upepo utapita tuu.
KWanza washafulia, boss wao mwenyewe yupo hoi bin taaban
Hahahaaa,eti Tanzanian's sweetheart labda mimi sio mtanzania.Anatia huruma kweli, hebu nihadithie tena alivyolia alivyosikia ndomo kaoa? Ulinichekesha sana.