Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Khaaa! Jamani warumi umeniuzia kesi hivihivi? Umesahau ile siku nilikua pamoja na wewe kupinga huu ushenzi wa kuzaa kabla ya ndoa? geniveros na wenzie akina Evelyn Salt ndio waliokua wanatetea.
Mimi namuogopa Mungu sana, siwezi na wala sitokaa nizae nje ya ndoa na Mungu aniepushie....
Mama usiite ushenzi buannaa plz!
Kwa iyo unamaanisha watoto wanaopatikana hapo ni washenzi?
Mhuuu😕
Kuzaa nje ya ndoa ni zambi kama kutombeka tuu! Sema kunaacha alama! Tumwache Mungu aseme sio sisi vitombeko.Tena anayezaa ni jasiri kuliko anayetoa.
Last edited by a moderator: