wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
Kakuambia ana maumivu???kampoze basi....naona sifa ndio nimefight for my love na nmefanikiwa na mtoto nshamzaa kabisa na anatambulika mjukuu from es una lingine,???
Sina lingine kwa sababu hata nikianzisha lingine nikazi bure, kichwa kigumu wewe, hatutaelewanaa