Jamani hivi hakuna waombaji wamuombee, she is possessed with demons. ampe yesu maisha yake, aone hicho kizazi na hilo kojo halijakata. Tunakufa kwa kukosa maarifa. Mungu ampe ufahamu akate shauri
Wadada wanapotoa mimba huwa wanaona ni ufahari, lakini kiroho ni mateso! tuwaombee sana Mungu awape macho ya rohoni
hapo ni wakati alipofanyiwa operation bana, yuko okay sasa hivi
Kule mbona atarudi anachekelea!anayemfahamu amsaidie aende kwa TB joshua.