Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Mimi mwenyew nawashangaa Sana.watu wanaosifia makabila ya watu wakati ya kwao yapo.


Ukiingia kwenye nyuzi za kusifia wachaga . Watu wa bukoba ( wahaya) na kidogo sukuma ndo pekee hubishana na kuwachallenge wachaga but wengine wote hubaki kusifia sifia Tu kama vile ni miungu vile.
Mbona tz kuna makabila mengi Tu yamepiga hatua na baadhi yapo vzr Tu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mchaga kusifiwa inakuuma? Endeleeni kupambana wahaya huenda mwaka 2100 ikawa zamu yenu
 
Kwa hiyo Uchina kuwa juu kiuchumi kumeharibu maendeleo ya Europe?

Ulaya imeendelea toka miaka ya 500 huko,ndio maana wazungu walisambaa kwingineko kusaka fursa kwa sababu kwao tayari kumejaa. Hata kama Kilimanjaro itapitwa kiuchumi na Lindi lakini tayari ishaendelea.

Tatizo lipo kwenye kutangulia tu

Siyo kweli. Mchina alitanguliwa na watu kibao wa Europe, wote kawapita.
 
Kwa hiyo mchaga kusifiwa inakuuma? Endeleeni kupambana wahaya huenda mwaka 2100 ikawa zamu yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnavyopenda kupewa sifa za kijinga sasa.



Kijana hebu Fanya utafiti kuhusu kabila la wahaya na maendeleo yake utaona kabila lako si kitu kabisa.



Tukianzia hapa. Yaan miji na majiji yote yaliyopo tz route za ndege wameona waongeze bukoba Tu. Tena moja kwa moja? Kuliko nyie mpaka mpite Zanzibar ambako nako mnabebwa na watalii. Na tena mnakosa magari mpaka mnapanda daladala za buza?


FB_IMG_16082016762578105.jpg


Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Tangu lini mhaya kamuweza mchaga, labda kwenye elimu tu na idadi ya maprofesa bas, maendeleo mtayasikikia Kilimanjaro tu
Siku hiz mikoa mingi Tu imepiga hatua maendeleo yako popote hapa bongo.
Kuna mikoa iko vzr Sana ndo maana mnakimbia kwenu na kwenda kwenye mikoa ya watu.

Halafu wahaya mnawajua kwenye elimu Tu. Kuna wafanyabiashara wakubwa Sana wa kihaya tena kuzidi wachaga sema mmekalili Tu.


Halafu moshi huko vijijini hakuna cha zaidi unachoweza kusema kwenye wilaya za wahaya hakipo mfano muleba wilaya ni ya pili nchini kwa shule tz na pia ina hospital tano. Na ina barabara za lami mpaka vijijini huko kamachumu rubya nshamba nk

Bado wilaya kama misenyi watu wanalima Sana vanilla na wanatajirika kila siku

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Mmmmh, una wa over rate mnooo!
By the way, maeneo mengi hapa nchini kwa sasa hayapishani sana. Tuchukue mfano kuanzia Mafinga, Makambako hadi Njombe(ingawa kwa sasa ni mikoa miwili), kisha tuchukue Same, Mwanga, Moshi DC, Rombo na Machame/Hai, je kuna nini cha maana kinapishana?
Tuchukue Geita, Katoro hadi Sengerema kisha ufananishe na Moshi, tofauti ya kibiashara na uchangamfu wa miji(kwa sasa, naweza kusema ni HAKUNA, zamani wakati watu wapo gizani sawa)
Lushoto na Tukuyu
 
Siku hiz mikoa mingi Tu imepiga hatua maendeleo yako popote hapa bongo.
Kuna mikoa iko vzr Sana ndo maana mnakimbia kwenu na kwenda kwenye mikoa ya watu.

Halafu wahaya mnawajua kwenye elimu Tu. Kuna wafanyabiashara wakubwa Sana wa kihaya tena kuzidi wachaga sema mmekalili Tu.


Halafu moshi huko vijijini hakuna cha zaidi unachoweza kusema kwenye wilaya za wahaya hakipo mfano muleba wilaya ni ya pili nchini kwa shule tz na pia ina hospital tano. Na ina barabara za lami mpaka vijijini huko kamachumu rubya nshamba nk

Bado wilaya kama misenyi watu wanalima Sana vanilla na wanatajirika kila siku

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Mkuu hawa jamaa washamba sana na hawajatembea kokote, siku wakibahatika kufika uhayani wataacha huu utoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnavyopenda kupewa sifa za kijinga sasa.



Kijana hebu Fanya utafiti kuhusu kabila la wahaya na maendeleo yake utaona kabila lako si kitu kabisa.



Tukianzia hapa. Yaan miji na majiji yote yaliyopo tz route za ndege wameona waongeze bukoba Tu. Tena moja kwa moja? Kuliko nyie mpaka mpite Zanzibar ambako nako mnabebwa na watalii. Na tena mnakosa magari mpaka mnapanda daladala za buza?


View attachment 1659963

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu jiongeze usiangalie sifa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hawa jamaa washamba sana na hawajatembea kokote, siku wakibahatika kufika uhayani wataacha huu utoto
Mkuu heb njoo migombani Kil utasahau kwenu. Tofauti ya mchaga na mhaya ni mchaga anafanya na anajua mhaya maneno mengi sana lakini vitendo ni 0

Mkishajenga Dar mnasahau kwenu ndio mana hata kwenda hampendi kwa sababu sio pazuri
 
Back
Top Bottom