hate speach si inajionyesha mkuu...Wala sio wivu
Wanajistukia..
Wakoloni walijenga shule za secondary zaidi
Ya 200 .huko Kilimanjaro
Tanganyika inapata uhuru wao wametangulia
Kielimu na kiuchumi..
Wao kuwazidi wengine ni kitu expected.
Why wanatumia nguvu kubwa Ku brag?
Wao Kwa sababu ya mlima Kilimanjaro wanapata watalii hadi vijijini..ni advantage
Kiuchumi..
Why iwe ajabu wao kupiga hatua?
Au wanaona wengine wanakuja juu ndo
Wanatafuta hizi sifa za kijinga??
siku hizi elimu sio mali kitu na wengi hazijawasaidia zaidi ya hasira ya kutafuta helaLindi Wana fukwe but Wana international airport?Watalii wanaenda kwao direct?
Geita Wana dhahabu but airport ndo kwanza
Imejengwa juzi huko chato..
Nimesema shule za secondary zaidi ya 200
Alizoacha mkoloni Kilimanjaro..wakati
Tanga zilikua mbili..Lindi sijui moja..
haina uhusiano na post..tuma picha hayo ni mawazo yako asilimiakubwa wala hawapokwenye ajira....Wachaga wanafikri bado wanaishi miaka ya 1960.
Sasa hivi kila kona inabadirika na hatimae kila mkoa utafikia hatua kama hizo.
Sasa hivi makabila yote yanasoma, na kufanya biashara, kila mtu kajanjaruka hakuna fursa itampita tofauti na zamani kwa kuwa wachaga waliwahi kujanjaruka basi kila fursa walikuwa wanakamata wao.
Sasa hivi ikitangazwa nafasi ya ajira mchaga hatumi kimemo kwa mjomba ake tena bali anaenda kwenye interview ambayo anaenda kukutana na watu wa makabila yote wenye expirience kama yake na kazi anapata aliefaulu interviews vizuri.
Sasa wachaga wakiona hivyo wanapata hasira wanafikiri Magu ni mkabila ana wabania[emoji23][emoji23][emoji23]
Sikieni! Ni hali imebadirika fursa inaonwa na kila kabila sasa hivi, so msijifanye kuonewa na mkiendelea na hii mentality yenu ya miaka ya 60 mtalia sana.
nenda brelauanze kuwaloga na kodiTutajie viwanda vya wachaga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zogwale hana hamu leo
Amekuambia ukweli lakin
Kuwa proud na kabila lako ndio yafate mengine
Wasukuma hoyeee
Hana hamuukakomeshwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sijamuelewa kusifia kabila la watu kuliko lake.
Wachaga hawa hawa Wezi, walevi N.k??????[emoji2220][emoji2220][emoji2220]
Ni noma na nusuukapashwaaa [emoji23][emoji23][emoji23] mwisho kaamua amueke ignore list[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
sijamuelewa kusifia kabila la watu kuliko lake.
Wachaga hawa hawa Wezi, walevi N.k??????
ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaaa anaambiwa ndani ya ndoa yake na huyo manka eti ni " mwanamke aliyechangamkaa
Hiyo ni ya k lynView attachment 1660776
Hapa ni kwa kipenzi cha watanzania mzee Mengi.
Wahaya naombeni mlipe kwa Rugemalira. Sidhani kama ana nyumba huko uhayani kama anayo leteni picha