Picha: Haya ni mazingira ya Kilimanjaro | mikoa mingine tunaombeni picha za makwenu

Mwenyewe nacheka huku naogopa.. si unajua? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha hamna hana nomaa
Nimeona kamgeuga jamaa hajaamini.. kwamba kuna Wanaume na kuna wanaume - wanawake waliochangamka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siyo ya kucheka haya Witty.
 
Nimeona kamgeuga jamaa hajaamini.. kwamba kuna Wanaume na kuna wanaume - wanawake waliochangamka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] siyo ya kucheka haya Witty.
Haaahaa[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23]

Mbona Mwanamke aliyechangamka[emoji1][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli tupu
 
Mmmmh, una wa over rate mnooo!
By the way, maeneo mengi hapa nchini kwa sasa hayapishani sana. Tuchukue mfano kuanzia Mafinga, Makambako hadi Njombe(ingawa kwa sasa ni mikoa miwili), kisha tuchukue Same, Mwanga, Moshi DC, Rombo na Machame/Hai, je kuna nini cha maana kinapishana?
Tuchukue Geita, Katoro hadi Sengerema kisha ufananishe na Moshi, tofauti ya kibiashara na uchangamfu wa miji(kwa sasa, naweza kusema ni HAKUNA, zamani wakati watu wapo gizani sawa)
 
Kuna watu wananuna! Aliyekutangulia katutangulia tu usipokubali hiyo tunaita Wivu!
Siyo kweli. Mchina alitanguliwa na watu kibao wa Europe, wote kawapita.
Ni suala la muda tu. Hivi unafaham Mji wa Tanga, umewahi kuwa mji mkubwa na superpower kwa Tz kuweza kuipiku DSM, na je leo hali ikoje?
 
Aaagh yamezidi bana twin[emoji1][emoji1][emoji1]
Kwamba ni matakataka ama!? Kwani umelazimishwa kusoma? Njoo nikupe liteni ukamunue sumu unywe tu mana sio kwa chuki hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…