Picha hii ina tafsiri gani?

Picha hii ina tafsiri gani?

View attachment 3213412
  1. Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
  2. Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......

Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Mkuu hua naheshimu sana mabandiko yako, lakini hili umekosea sana. Haijalishi umeweka disclaimer. Pamoja na yote na mapungufu yote, hatuna budi kumuheshimu Mheshimiwa Rais, sio tu kwa Urais wake lakini pia kama mama kwetu na mwanamke wa staha.
So kwa unyenyekevu unaweza kufuta au kubadili bandiko hili la akutweza utu wa mheshimiwa.

Disclaimer: Siingilii uhuru wako wa kupost chochote!!
 
Mkuu hua naheshimu sana mabandiko yako, lakini hili umekosea sana. Haijalishi umeweka disclaimer. Pamoja na yote na mapungufu yote, hatuna budi kumuheshimu Mheshimiwa Rais, sio tu kwa Urais wake lakini pia kama mama kwetu na mwanamke wa staha.
So kwa unyenyekevu unaweza kufuta au kubadili bandiko hili la akutweza utu wa mheshimiwa.

Disclaimer: Siingilii uhuru wako wa kupost chochote!!
Kwa nini mkuu?

Nadhani unahitaji elimu zaidi ili uamke kutoka kwenye uzombi
 
Ni nani kwani huyo mwenye mkono wake?
Screenshot_20241111-130723.jpg
huyo hapo
 
The guy's posture exudes extreme familiality, confidence and power. This is a relationship between equals, not that of a Servant and Master.

Ordinarily, you wouldn't publicly talk to a Head of State in such a grandiose posture. There are limits. Perhaps, there little to more than we see.​
Nimefurahi sana kusoma observation yako ambayo nadhani wengi wataunga mkono.
 
The guy's posture exudes extreme familiality, confidence and power. This is a relationship between equals, not that of a Servant and Master.

Ordinarily, you wouldn't publicly talk to a Head of State in such a grandiose posture. There are limits. Perhaps, there little to more than we see.​

Huyu jamaa sijui ni nani kwenye hii inchi....kuna mengi ya kufikirisha.
 
Back
Top Bottom