Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wee jikute mjanja...Wakina nani haooo 🤣🤣🤣
Nipo zangu huku Ikungulyambeshi sijui kama watafika aiseee
Ila unatafutwa kwa chini chini ni kampeni "tafuta manyanza kwa hali na mali"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jikute mjanja...Wakina nani haooo 🤣🤣🤣
Nipo zangu huku Ikungulyambeshi sijui kama watafika aiseee
Na Warembo au Watu wasiojulikana?Wee jikute mjanja...
Ila unatafutwa kwa chini chini ni kampeni "tafuta manyanza kwa hali na mali"
Mimi sijapenda picha hii kuwa public at all...View attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Mkuu hua naheshimu sana mabandiko yako, lakini hili umekosea sana. Haijalishi umeweka disclaimer. Pamoja na yote na mapungufu yote, hatuna budi kumuheshimu Mheshimiwa Rais, sio tu kwa Urais wake lakini pia kama mama kwetu na mwanamke wa staha.View attachment 3213412
- Prediction: Huo mkono wa huyo kijana naona kama una ujumbe fulani au hoja kinzani
- Prediction: Naona mpaka mpambe wa Rais anasubiri amri tu hapo......
Disclaimer:
Picha haina lengo la kudhalilisha utu wa Rais.
Kwa nini mkuu?Mkuu hua naheshimu sana mabandiko yako, lakini hili umekosea sana. Haijalishi umeweka disclaimer. Pamoja na yote na mapungufu yote, hatuna budi kumuheshimu Mheshimiwa Rais, sio tu kwa Urais wake lakini pia kama mama kwetu na mwanamke wa staha.
So kwa unyenyekevu unaweza kufuta au kubadili bandiko hili la akutweza utu wa mheshimiwa.
Disclaimer: Siingilii uhuru wako wa kupost chochote!!
Sawa!Kwa nini mkuu?
Nadhani unahitaji elimu zaidi ili uamke kutoka kwenye uzombi
Visungura kinywaji pendwa cha mkuu johnthebaptist hichoWeee jamaa jau sana 😀😀😀😀
Ukaaminisha watu et mimi nakunywa visungura seriously mkuu 😀😀😀😀😁😁😁😁😁😁😁😁
Kama mshauri wa RAISI ni huyu basi nchi hii
Kuna sehemu tulikoseaKama mshauri wa RAISI ni huyu basi nchi hii imekufa
Ni nani kwani huyo mwenye mkono wake?Kwahiyo huyo ndio anaongoza nchi?
Ni nani kwani huyo mwenye mkono wake?
Dula!?View attachment 3213541 huyo hapo
Warembo kule jukwaa la siasa..Na Warembo au Watu wasiojulikana?
Mimi natumia ila sio ndo kuja kuaminisha watu kuwa nimetapika kipande cha ini kisa visungura mkuuVisungura kinywaji pendwa cha mkuu johnthebaptist hicho
Nimefurahi sana kusoma observation yako ambayo nadhani wengi wataunga mkono.The guy's posture exudes extreme familiality, confidence and power. This is a relationship between equals, not that of a Servant and Master.
Ordinarily, you wouldn't publicly talk to a Head of State in such a grandiose posture. There are limits. Perhaps, there little to more than we see.
The guy's posture exudes extreme familiality, confidence and power. This is a relationship between equals, not that of a Servant and Master.
Ordinarily, you wouldn't publicly talk to a Head of State in such a grandiose posture. There are limits. Perhaps, there little to more than we see.
Huyu jamaa sijui ni nani kwenye hii inchi....kuna mengi ya kufikirisha.View attachment 3213541 huyo hapo
Wana makasiriko tu hao na hawajielewi, halafu inakuwaje mrembo unabishana kwenye siasa?Warembo kule jukwaa la siasa..
Sasa imagine mrembo alafu yupo kwa siasa kule