Picha hii inathibitisha Dar kuna shida ya chakula. Chapati zote hizo?

Picha hii inathibitisha Dar kuna shida ya chakula. Chapati zote hizo?

Kwa mda niliokaa USA sidhani kama niliwahi kukumbuka chakula cha Tanzania, labda kama huna hela.
Inategemea na maisha uliyokuwa unaishi bongo...ila 'homa ya nyumbani' inayombatana na hamu ya vyakula vya bongo unapokuwa ughaibuni ni jambo ambalo haliepukiki.
 
Watu hapo washapiga hesabu kuwa nyumbani jamani msiniwekee, hivyo kapunguza gharama ya share yake ya msosi ndivyo watu wengi hasa panapoitwa uswahilini hufanya hivyo.
 
FB_IMG_1699776442584.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.

Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.

Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.

ITR inamankusweke HIMARS
Kuna wakati nilikuwa Punjab nikatamani sana kurudi Tz maana chakula chao dengu, maziwa ya nyati hapana aisee
 
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.

Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.

Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.

ITR inamankusweke HIMARS
Mshaanza sasa😂😂😂😂🙌🙌
 
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.

Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.

Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.

ITR inamankusweke HIMARS
Pole mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.

Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.

Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.

ITR inamankusweke HIMARS
Unakula cottage cheese mkuu? Mixer mandarin oranges?🙂 jaribu vya ki Mexico angalau vi kinyumbani...
 
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.

Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.

Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.

ITR inamankusweke HIMARS

Hela ndefu wapi bhn stop bragging
 
Back
Top Bottom