Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Mzee hata ugali dagaa zenye Nazi zilizochanganywa na Bamia na Nyanya chungu huzikumbuki?Kwa mda niliokaa USA sidhani kama niliwahi kukumbuka chakula cha Tanzania, labda kama huna hela.
Inategemea na maisha uliyokuwa unaishi bongo...ila 'homa ya nyumbani' inayombatana na hamu ya vyakula vya bongo unapokuwa ughaibuni ni jambo ambalo haliepukiki.Kwa mda niliokaa USA sidhani kama niliwahi kukumbuka chakula cha Tanzania, labda kama huna hela.
ukipata fursa ya kubugia na kufakamia michapati itumie vizuri itakusaidia
Kuna wakati nilikuwa Punjab nikatamani sana kurudi Tz maana chakula chao dengu, maziwa ya nyati hapana aiseeMkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Mbona chapati zenyewe ni mbili tu? Halafu kwani wewe chakula ni kipi hasa? Mpaka uone ugali au wali ndiyo unaona ni chakula?
Mshaanza sasaππππππMkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Pole mkuu umeongea kwa uchungu sanaMkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Unakula cottage cheese mkuu? Mixer mandarin oranges?π jaribu vya ki Mexico angalau vi kinyumbani...Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS
Mkuu yani umenikumbusha mbali hadi machozi yamenitoka. Nimemiss kichizi hizo chapati. Maandazi pia vitumbua dagaa fresh vegetables and fruits.
Ila nyinyi 99% third world dwellers mnafaidi lakini kila siku kulalamika.
Japo sisi waoshamikundu ya wazee tunatengeneza hela ndefu ila kwenye msosi asee mmetuzidi.
ITR inamankusweke HIMARS