Picha hii ni somo kubwa kuwa maisha ni safari ndefu sana inayoandikwa ikifika ukomo

Picha hii ni somo kubwa kuwa maisha ni safari ndefu sana inayoandikwa ikifika ukomo

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1630745401114.png
 
Lowasa kupitia rafiki yake wa damu na wa muda mrefu mtoto wa mjini na mwanamipango mh Jakaya Kikwete waliwaingiza chaka washamba hawa ili kuwapoteza maboya ktk uchaguzi mkuu uliyofanyika mwaka 2015. TB Jushua alitumika kama daraja tu kuwahadaa wanasiasa njaa wanaomsikiliza.
 
Lowasa kupitia rafiki yake wa damu na wa muda mrefu mtoto wa mjini na mwanamipango mh Jakaya Kikwete waliwaingiza chaka washamba hawa ili kuwapoteza maboya ktk uchaguzi mkuu uliyofanyika mwaka 2015. TB Jushua alitumika kama daraja tu kuwahadaa wanasiasa njaa wanaomsikiliza.
Hivi kwa ni lazima kuandika ushuzi
 
Lowasa kupitia rafiki yake wa damu na wa muda mrefu mtoto wa mjini na mwanamipango mh Jakaya Kikwete waliwaingiza chaka washamba hawa ili kuwapoteza maboya ktk uchaguzi mkuu uliyofanyika mwaka 2015. TB Jushua alitumika kama daraja tu kuwahadaa wanasiasa njaa wanaomsikiliza.
Unawashwa
 
Back
Top Bottom