Picha: Hii ramani inatumika sana kueneza uwongo wa mashabiki wa magaidi ya HAMAS humu

Picha: Hii ramani inatumika sana kueneza uwongo wa mashabiki wa magaidi ya HAMAS humu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Ramani ya kwanza inayotumika kueneza uwongo, ila ramani ya pili ndio yenye uhalsia

main-qimg-b81f160b5904ee06aa25a1515432fff9



main-qimg-37a970b86ff95d571d09cb9e34ec222c
 
Israel ni taifa kubwa hivyo vya mipaka vitakuwa vinamchanga kama vipi hapo akomae pote pawe ni Israel tu.
 
Ramani ya kwanza inayotumika kueneza uwongo, ila ramani ya pili ndio yenye uhalsia

main-qimg-b81f160b5904ee06aa25a1515432fff9



main-qimg-37a970b86ff95d571d09cb9e34ec222c
Weka wewe ramani ya ukweli una chuki mbaya sana wewe na Wapelestina.
Ngoja nikupe darsa kiduchu.

The Government of Palestine 🇵🇸 In 1933 Jews came to Palestine as refugees with these permits.
IMG_6401.jpeg
IMG_6402.jpeg
 
Ramani ya kwanza iko sahihi achana na hadithi zisizo na kichwa wala.

Dini zinafanya watu wajinga kua wapumbavu zaidi na kukosa akili na utu kabisa.

Israel hana ardhi mashariki ya kati. Israel ni mvamizi wa wapalestina na anaikalia Palestina kinguvu.
 
kidume cha mbegu izrail anampelekea motoo mwarab...anamkamiaa hataree mazee...gaza patabaki historiaa
IMG_2420.jpeg
 
Ramani ya kwanza iko sahihi achana na hadithi zisizo na kichwa wala.

Dini zinafanya watu wajinga kua wapumbavu zaidi na kukosa akili na utu kabisa.

Israel hana ardhi mashariki ya kati. Israel ni mvamizi wa wapalestina na anaikalia Palestina kinguvu.
Kwahiyo ardhi yao ikwap
 
We gaidi badilika Hao magaidi wa Israel unawatetea juzi wamelipua Kanisa na kuwafyeka waumini woteView attachment 2817396

Msingewachokonoa, ale ni makatili wakianza kulipua mabomu wanafagia kilicho mbele, siku nyingine mtie akili na kuepuka maugomvi nao, endeleeni kuchinja Wakristo kama mlivyozoea lakini mtemane na Wayahudi, wameisambaratisha Gaza na hakuna kenge yoyote imeingilia hata kubwa la magaidi ya dini yenu Irani limeufyata.
 
Back
Top Bottom