Picha: Hii ramani inatumika sana kueneza uwongo wa mashabiki wa magaidi ya HAMAS humu

Picha: Hii ramani inatumika sana kueneza uwongo wa mashabiki wa magaidi ya HAMAS humu

Weka wewe ramani ya ukweli una chuki mbaya sana wewe na Wapelestina.
Ngoja nikupe darsa kiduchu.

The Government of Palestine 🇵🇸 In 1933 Jews came to Palestine as refugees with these permits.
Mwongezee na hii.
20231112_185910.jpg
 
TAIFA TEULE[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]
 
Ramani ya kwanza inayotumika kueneza uwongo, ila ramani ya pili ndio yenye uhalsia

main-qimg-b81f160b5904ee06aa25a1515432fff9



main-qimg-37a970b86ff95d571d09cb9e34ec222c
Mkuu yaani Hapo hiyo siyo Agenda ya Hamas tu bali ni Agenda ya Waislam kwa ujumla ila wanawatanguliza Hamas mbele.
1. Hamas Charter of 1988 inasema katika utangulizi wake "Israel will exist and will continue to exist until Islam will obliterate it, just as it obliterated others before it." NB KUANGAMIZA ISRAEL SIYO KAZI YA HAMAS BALI NI UISLAM
2. Kama ilivyosemwa katika maelezo ya Ramani sahihi hapo juu eneo kuwa lilikuwa public land.
3. Wayahudi na wakristo na baadhi ya waarabu waislam walikuwa wakazi wa holy Land hadi kufikia karne ya 20
4. Yes Wayahudi wengine walikuja kurudi kwenye Holy Land kuanzia Karne ya 19 mpaka karne ya 20; Lakini vile vile kuna waarabu wengi tu walihamia kutoka nchi za syria, Egypt, Iraq, Yemen. wakati Wayahudi walikuwa wakirudi nchini kwao kwa kukimbia manyanyaso waliyokuwa wakipata katika nchi wanakoishi (NB
Nchi za Kiaarabu na Kiislam ziliwatesa sana wayahudi, na wengine walikimbia kutoka nchi za Ulaya Mashariki), Wao waarabu walihamia Holy Land kwa ajili ya Agenda yao ya Kidini
5. Al Aqsa Mosque ambayo Waislamu wameifanya kama rallying point yao kwenye vita yao na Isarel, It's a hoax (Ulaghai wa kiislam). kwani msikiti huo unahusishwa na Mtume Mohammad alivyopaa na Punda toka Mecca kuja Jerusalem ili apae kutokea pale kwenda mbinguni!!! Hiyo waislam waliitunga ili kuhalalisha eneo hilo kuwa ni Takatifu kidini. Mtume Alikufa mwaka 632 wakati huo Msikiti ulijengwa kuanzia mwaka 682 mpaka 705 baada ya Waislam kuiteka Jerusalem. Ukiuliza Waislam wenye nia njema watakwambia Al-Aqsa ya ukweli iko eneo linaitwa Ji'ranah katika Mji unaitwa Taif, Mecca. Ona alichosema huyu Mwanasheria wa Saudi Arabia ( Bw. Safaa Kasraoui mwaka 2020 kwenye Screenshot
Screenshot (51).png

6. Waarabu wanaeneza propaganda kuwa walifukuzwa na waisrael 1948 kutoka maeneo ya makazi yao na UN nayo inaendekeza ujinga huo kuwa Irael iliwafukuza Waarabu toka maeneo yao. kwali ni kwamba Mataifa ya Kiislam ya Kiarabu ya Syria, Egypt, Jordan, Lebanon, Iraq Yemen Morroco na Saudi Arabia katika kutekeleza Agenda yao ya Quran, walipanga kuwaangamiza Kabisa Waisrael kabla hawajajitangazia Uhuru wao Mei 14, 1948. Hivyo, wakawaambia Waarabu wenzao waondoke ili wakati wanafanya Maangamizi hayo kwa Wayahudi wao Waarabu wasiumizwe.
Hapa chini kuna video ambapo Rais wa Palestina Mahamoud Abbasi anakiri kuwa Kuhama kwao ule mwaka 1948 haikuwa matakwa yao bali waliagizwa kwa Ahadi kuwa watarudishwa baada ya kazi kumalizika ya kuwaangamiza Wayahudi.


Aidha pia ipo notice ya April 1948 ambapo Wayahudi walikuwa wanawasihi Majirani zao wa Kiarau wasiondoke; Lakini Waarabu hao wakang'ang'ania kuondoka
Notice to muslims in1948.jpg
 
Miaka 3000 iliyopita wapalestina walikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom