PICHA: Hili jengo linalojengwa Kariakoo kwa PPP ni balaa ni zaidi ya Mlimani City unaambiwa Serikali itajizolea zaidi ya TZS 2.5bn kila mwaka

Kwani haiwezekani floor moja kati ya hizo kumi ikawa soko la madini?

Yani umejikubalisha kabisa kuwa hatuwezi kuji organize?
 
Mkuu,

Katika miaka 10 ijayo idadi ya watu Dar ita double. Kwa sasa kuna umuhimu wa kujenga juu ama sivyo patakuwa hapakaliki hapo.
 
Kwani haiwezekani floor moja kati ya hizo kumi ikawa soko la madini?

Yani umejikubalisha kabisa kuwa hatuwezi kuji organize?
Sijasema hatuwezi kuji organize,

Nakukumbusha umuhimu wa kujiorganize kwa kuweka masoko ya madini sehemu yake na masoko ya vitu vya kawaida sehemu yake,

Nchi hii masoko ya madini yapo mengi tu, na yote yanafanya vema sana, na hakuna hata moja lililo changanywa na soko la vitu vya kawaida
 
Again,

I am talking about what is possible, you are stuck on what is.
 
mim sikujua kamq ni PPP ila hilo jengo karibu nq klab ya simba nimewasifu kitu kimoja cha muhimu sana katika majenzi. wao wanatumia bomba badalq ya mirunda, mim najiuliza sana kkoo sasa hiv kila kona magorofa ila nashangaa hawatumii scafold issipokuwa mirunda/props. mim nadhan wasiwe wanatumia mirunda.na tupunguze kujengea tofal mpaka juu
 
Kuna mijitu inajiropokea tuh ,.
 
2.5bn kwa mwaka bado ni pesa dogo kwa Kariakoo naona kama tumepigwa sijui mzalendo Kafulila anasemaj

Unahoja ya msingi sana wahusika wasome hii vizuri
 
Uwaambie hizo fedha ni akiba ya watumishi.Wakistaafu au kuzihitaji ziwafikie mara moja.
 
Ivi wakati tunakomaa na ma physical investment ya majengo kariakoo tunaweka akilini mapinduzi ya TEHAMA kuwa mahitaji ya mafremu ya gharama kubwa yatapungua? Sihitaji display ya kwenye mafrem ya bei ghali. Nahitaji smartphone tu
 
Ivi wakati tunakomaa na ma physical investment ya majengo kariakoo tunaweka akilini mapinduzi ya TEHAMA kuwa mahitaji ya mafremu ya gharama kubwa yatapungua? Sihitaji display ya kwenye mafrem ya bei ghali. Nahitaji smartphone tu
Umeongea pointi sana mkuu,

Tehama itatufanya tusihitaji Majengo makubwa labda stoo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…