Picha: Hivi Tanzania tumefikia hapa kweli!?

Picha: Hivi Tanzania tumefikia hapa kweli!?

haha

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2013
Posts
1,400
Reaction score
1,638
Picha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuu
20230305_181944.jpg
 
Mkuu acha watu wapambane, ndio maana hizo shule zinatambulika na serikali na hao wanafunzi unaowadharau wanachangia pato la taifa kupitia Kodi.

Mambele unakuta mtu kama Drake anabet na yuko proud. Ila kibongo bongo unaonekana kichaa, INASIKITISHA SANA
 
Back
Top Bottom