Picha: Hivi Tanzania tumefikia hapa kweli!?

Picha: Hivi Tanzania tumefikia hapa kweli!?

Mkuu acha watu wapambane, ndio maana hizo shule zinatambulika na serikali na hao wanafunzi unaowadharau wanachangia pato la taifa kupitia Kodi.

Mambele unakuta mtu kama Drake anabet na yuko proud. Ila kibongo bongo unaonekana kichaa, INASIKITISHA SANA
Acha kulinganisha mbingu na ardhi huyo drake ana bet kwa ajiri ya kutafuta pesa ya kula?au kulipia kodi ya nyumba?yeye anafanya kama starehe tu.kwa nchi za kiafrika hilo limeshakuwa janga serikali zenyewe zinaangalia kodi tu!!kabla hata ya hayo matamko ya viongozi wa dini kupinga ushoga wangeanza kwanza na hili ambalo limeshaota mizizi na liko waziwazi kabisa!!
 
Acha kulinganisha mbingu na ardhi huyo drake ana bet kwa ajiri ya kutafuta pesa ya kula?au kulipia kodi ya nyumba?yeye anafanya kama starehe tu.kwa nchi za kiafrika hilo limeshakuwa janga serikali zenyewe zinaangalia kodi tu!!kabla hata ya hayo matamko ya viongozi wa dini kupinga ushoga wangeanza kwanza na hili ambalo limeshaota mizizi na liko waziwazi kabisa!!
Inasikitisha sana, vijana wanaishi kwa kubahatisha.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Yaan kumbe watu wana bett hapo? Nilijua wanafunzi wa chuo tena diploma wako library wanajisomea.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna hatareeee
 
Taifa letu ni taifa MBUMBUMBU...

Fungua radio station yeyote saivi au TV..usikie kamari mchezo haramu ulivyohalalishwa.
 
Kwani wanakuomba pesa, hujui maana ya mfumo wa kibepari wewe,kila mtu ashinde mechi zake!
 
Betting ni kazi kama zilivyo nyingine tembea tembea nchi za watu utashangaa zaidi watu wanapata kifungua kinywa,msosi wa mchana humo humo mjengoni.
Anatoka mtu asubuhi ana pochi au kibegi kina pen,daftari anaendesha maisha vizuri kodi analipa watoto wanaenda chooni vizuri tu.
 
Acha kulinganisha mbingu na ardhi huyo drake ana bet kwa ajiri ya kutafuta pesa ya kula?au kulipia kodi ya nyumba?yeye anafanya kama starehe tu.kwa nchi za kiafrika hilo limeshakuwa janga serikali zenyewe zinaangalia kodi tu!!kabla hata ya hayo matamko ya viongozi wa dini kupinga ushoga wangeanza kwanza na hili ambalo limeshaota mizizi na liko waziwazi kabisa!!
Drake alikuja akakwambia anabetia starehe? Una uhakika kila mbetiji bongo anabetia njaa. Kausha mkuu sipo hapa kubishana, tufanye umeshinda.
 
Drake alikuja akakwambia anabetia starehe? Una uhakika kila mbetiji bongo anabetia njaa. Kausha mkuu sipo hapa kubishana, tufanye umeshinda.
Inshu sio kuja na kuniambia ila ni kitu kipo wazi matajiri wengi hiyo betting ni kama ULAIBU (addiction) tu,starehe tu lakini kwa hapa kwetu 99.9 % ni kutafuta pesa za kutatua matatizo yao.
 
Mkuu acha watu wapambane, ndio maana hizo shule zinatambulika na serikali na hao wanafunzi unaowadharau wanachangia pato la taifa kupitia Kodi.

Mambele unakuta mtu kama Drake anabet na yuko proud. Ila kibongo bongo unaonekana kichaa, INASIKITISHA SANA
Kibongobongo ni siri kali mtu anakuchenjia mbele za watu ukileta hizo habari.
 
Mafunzo yake siyo marahisi ukifuzu unakua na roho ngumu hata ukiwa unapewa taarifa za vifo unakua hushtuki tena maana umeshazoea kushtuka mikeka ikichanika
Hii kweli kabisa roho inabadilika sana hahahaha dah hujakosea.
 
Back
Top Bottom