Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Mbona hao ni kidogo hapo ni asubuhi ndo ofisi imefunguliwa wengine bado hatujafika ofisiniKha Jamani ndo wote Hao 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hao ni kidogo hapo ni asubuhi ndo ofisi imefunguliwa wengine bado hatujafika ofisiniKha Jamani ndo wote Hao 😂
Hadi wew 😂Mbona hao ni kidogo hapo ni asubuhi ndo ofisi imefunguliwa wengine bado hatujafika ofisini
Yule mkurugenzi wa halmashauri aliekua anagombezwa na waziri mkuu aache kubet nilimfundisha mimiHadi wew 😂
Kumbe mkufunz kabisa 😂Yule mkurugenzi wa halmashauri aliekua anagombezwa na waziri mkuu aache kubet nilimfundisha mimi
Mafunzo yake siyo marahisi ukifuzu unakua na roho ngumu hata ukiwa unapewa taarifa za vifo unakua hushtuki tena maana umeshazoea kushtuka mikeka ikichanikaKumbe mkufunz kabisa 😂
Nifundishe namm inaonekana inalipasana
Unataka wawe wawili alafu serikali kodi ipate wapiKha Jamani ndo wote Hao 😂
😀Kwakweli sikuwahi kujua hili najua wanabet kwasimu tu mnifundishe SasaUnataka wawe wawili alafu serikali kodi ipate wapi
Unataka na ww uanze betting😀Kwakweli sikuwahi kujua hili najua wanabet kwasimu tu mnifundishe Sasa
😀😀😀Aisee bas km ndio hivoMafunzo yake siyo marahisi ukifuzu unakua na roho ngumu hata ukiwa unapewa taarifa za vifo unakua hushtuki tena maana umeshazoea kushtuka mikeka ikichanika
Achana na kamari hta usitamani😀😀😀Aisee bas km ndio hivo
[emoji3][emoji3] ulitaka wawe wangapi?Kha Jamani ndo wote Hao [emoji23]
Nilijua wanne watano alafu nilidhani wako maktaba hamna viti watuwengi😂😂😂
[emoji3][emoji3]Nilijua wanne watano alafu nilidhani wako maktaba hamna viti watuwengi[emoji23][emoji23][emoji23]
Inasikitisha ila hkn namna wapambne tu mnk kuzifungia nazo hz kampuni Ni ushamba mkubwa siyo watu wote wanabeti hata watu milion tAno hatufiki trust mePicha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577
Ndio serikali imeamua iwe hivyoPicha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577
Wana wanasuka mikeka sasa bado wale wa smartphones nao ukijumuisha majangaPicha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577
Basi inabidi bord ya mikopo ipite na uko watu wanao beti wakipiga pesa wakatwe za board za mikopoWatanzania kujifanya mnajua
Mambo ya msingi hamkosoi mnakosoa ujinga
Kubet ni kazi
Kubet ni starehe
Ukiona mtu mpaka anabet huyo ana hela
Hawatumii nywele hapo kubetia ni hela tu
Kwahiyo wanazo wanajua kuzitafuta
Na wanaobet ni makundi tofauti ya watu na siyo aina fulani tu ya watu
Kama mtu kazi yake ni kubet tu
It means anapata faida
Na nimlipa kodi mzuri huyo
Sasa tatizo lenu nini
Kama bodaboda wanaitwa "maofisa usafirishaji"Hawa watakuwa maofisa mikopo"serikali inaunafiki hatari,Picha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577