Picha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577
Imetusomesha 😅😅😅😅CCM imetulea
Wanazingua kweli asa kosa liko wapi. Na darasani nshatoka. Muhindi alikula boom lote ndo natafuta na aftatu hapaTabia ya kutupiga picha tukiwa ofisini kwetu iache yaani mtu asipitie mikataba yake kwa amani?
Wanabeti, sivyo? CCM ni laanaPicha Ina jieleza huu ni mzaha Kwa nchi,na hawa ni vijana wa shule na hapo ni center moja tuuView attachment 2538577
😂😂Wanafanya nn kwani?Tabia ya kutupiga picha tukiwa ofisini kwetu iache yaani mtu asipitie mikataba yake kwa amani?
Wanabet😂😂Wanafanya nn kwani?
Kha Jamani ndo wote Hao 😂Wanabet
Hayo makaratasi ndo wanajisomea au 😀Wanabet