Picha: Hivi Tanzania tumefikia hapa kweli!?

Mkuu acha watu wapambane, ndio maana hizo shule zinatambulika na serikali na hao wanafunzi unaowadharau wanachangia pato la taifa kupitia Kodi.

Mambele unakuta mtu kama Drake anabet na yuko proud. Ila kibongo bongo unaonekana kichaa, INASIKITISHA SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…