Mkuu acha watu wapambane, ndio maana hizo shule zinatambulika na serikali na hao wanafunzi unaowadharau wanachangia pato la taifa kupitia Kodi.
Mambele unakuta mtu kama Drake anabet na yuko proud. Ila kibongo bongo unaonekana kichaa, INASIKITISHA SANA