NishasemaUnataka kusema nini?
Ulikuja tupu unarudi tupuUnataka kusema nini?
kawaida ya kenge mvua ikimyeshea hukimbilia mtoniDaah ila watu yaani mnatumia msiba kama fimbo za kuwatishia wengine. Kufa kupo tu karne na karne hakuna funzo hapo mkuu
Wahi hospital tukutibu ugonjwa wa akiliView attachment 2922990
Picha hii.
Kama unaona uislam wako ni daraja l1 badala ya siasa au biashara au cheo chako huu ujumbe muruwa.
View attachment 2922995
Kama watoto wako uliwaekeza ktk international school pekee na sio madrasa imekula kwako maana ya kumaliza kisomo ndio basi hakuna atakaekuombea dua
Ukisikia gari imekupigia honi unaruka hatua 100 mbeleWaoga wa kifo utawajua tu
🚮View attachment 2922990
Picha hii.
Kama unaona uislam wako ni daraja l1 badala ya siasa au biashara au cheo chako huu ujumbe muruwa.
View attachment 2922995
Kama watoto wako uliwaekeza ktk international school pekee na sio madrasa imekula kwako maana ya kumaliza kisomo ndio basi hakuna atakaekuombea dua
Muulize mwalimu wakoKWHYO UKIOMBEWA DUA UTAFUFUKA
Uislam ndio njia sahihi kufikia hukoHivi baada ya kuswaliwa na Masheikh Wakuu ama Maaskofu Wakuu kama ilivyotokea Kwa JPM ama Lowasa ndiyo inakuwa umefutiwa dhambi na Mola wako?
Muhimu kumcha Mola na kuacha kutenda dhambi ukiwa bado hujalala mauti.
Kifo kipo kwaajili ya kutukumbusha hilo