Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmm. Quran mkusanyiko wa Taurat , injil na Zaburu. Kwa hivyo mitume yote walikua ni waislamQuran ni Copy paste ya Vitabu vya Kiyahudi halafu Waarabu wakaongezea mambo ya Kizoroastra.
Unataka ufe?au si unataka utese ktk dunia hiiHayo yanawahusu shallow mind wanaodhani kufa ni suala geni wakati ni moja ya hatua ya kiumbe hai.
Muhamad mwenyewe hajui ataenda wapi au atafanywa nini sasa why udanganye watu sheikh wangu?Uislam ndio njia sahihi kufikia huko
Hii huwa tunawadanganya wasiojua uislamu kwa ajili ya kuwatapeliMmm. Quran mkusanyiko wa Taurat , injil na Zaburu. Kwa hivyo mitume yote walikua ni waislam
Mitume uliowataja hawakuwa Waisilamu walikuwa ni Wafuasi wa Dini ya Kiyahudi na lengo la Waarabu lilikuwa ni kuwazulumu Wayahudi Dini yao.Mmm. Quran mkusanyiko wa Taurat , injil na Zaburu. Kwa hivyo mitume yote walikua ni waislam
Atakuletea hekaya za MwamediThibitisha.
ThibitishaKwa uislam mtu hata akiwa mwema vipi,maadam hakuwa muislam basi matendo yake yameanguka patupu,ni sawa na lowasa alivyokua rais wa mioyo ya watu wakati magufuli ndiye alikua rais haswa
Matusi ya nini,si umpinge kwa hoja? kasema madrasa watu wanakalilishwa kiarabu ni uongo?Wewe mzungu mbona shule unasoma kwa kizungu? Au kwa sababu mabwana zako ndio unaona sawa?
Mungu kaniumba mimi mkara,Je alikosea?Kwa nini atumie kiarabu peke yake?Nikimuomba kwa kijaluo sala zangu anapokea?"Na lau kama tungaliifanya Qur-an lugha isiyo ya Kiarabu wangelisema: Kwa nini aya zake hazikupambanuliwa? Lo! Lugha isiyokuwa ya Kiarabu na (Mtume) Mwarabu! (Mambo gani hayo)? " (41:44).
"Na lau tungaliiteremsha juu ya mmoja wa wasiokuwa Waarabu, na akawasomea (kwa ufasaha) wasingalikuwa wenye kuamini." (26:198-199)
Endelea kujifariji kwa kudanganywa na akina Sulle.Mkusanyiko.wa vitabu ulivyovitaja unaitwa Biblos au biblia.Usijifue nguo kiasi Hicho.Labda kama ungesema quran ni summary ya vitabu hivyo!Mmm. Quran mkusanyiko wa Taurat , injil na Zaburu. Kwa hivyo mitume yote walikua ni waislam
Bora kukumbushanaMambo 3 ambayo muislam akifa yamtasaidia
1. Kutoa sadaka lariat
2. Mtoto mwema atakaemuombea dua mzazi wake
3. Kutoa elimu kwa waislam wenzio
Hahaha.............Kwa uislam mtu hata akiwa mwema vipi,maadam hakuwa muislam basi matendo yake yameanguka patupu,ni sawa na lowasa alivyokua rais wa mioyo ya watu wakati magufuli ndiye alikua rais haswa
Sio kutishiwa nikukumbushwa kutenda na kuishi memaDaah ila watu yaani mnatumia msiba kama fimbo za kuwatishia wengine. Kufa kupo tu karne na karne hakuna funzo hapo mkuu
View attachment 2922990
Picha hii.
Kama unaona uislam wako ni daraja l1 badala ya siasa au biashara au cheo chako huu ujumbe muruwa.
View attachment 2922995
Kama watoto wako uliwaekeza ktk international school pekee na sio madrasa imekula kwako maana ya kumaliza kisomo ndio basi hakuna atakaekuombea dua