- Thread starter
- #21
HaikusaidiiPhD ya elimu akhera itasaidia nini kama utaenda motoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaikusaidiiPhD ya elimu akhera itasaidia nini kama utaenda motoni?
Kwa uislam tofauti. Dua inamsaidia sana maitiNinachojua kuzikwa na kufukiwa kitu ni kile kile.. Masuala ya dua na misa za wafu ni nadharia tu.
Mkuu, lakini bado hujajibu swali langu?Uislam ndio njia sahihi kufikia huko
Uislamu ni ujingaUislam ndio njia sahihi kufikia huko
Halafu chuma kikilia hapo ulipo wa kwanza kutoka nduki bila hata kuangalia unakoelekeaWaoga wa kifo utawajua tu
Elimu kwanza Madrasa za nini?Kama watoto wako uliwaekeza ktk international school pekee na sio madrasa
Matendo yako ndiyo yatayoamua pakubwa hatima yako akheraHivi baada ya kuswaliwa na Masheikh Wakuu ama Maaskofu Wakuu kama ilivyotokea Kwa JPM ama Lowasa ndiyo inakuwa umefutiwa dhambi na Mola wako?
Muhimu kumcha Mola na kuacha kutenda dhambi ukiwa bado hujalala mauti.
Kifo kipo kwaajili ya kutukumbusha hilo
Bado ni nadharia na hakuna uthibitisho zaidi ni hadithi na maandiko ambayo mimi na wewe tumeyakuta na kuyaishi.Kwa uislam tofauti. Dua inamsaidia sana maiti
Upo sahihi Mkuu, japo mtoa mada alitaka kupindisha maanaMatendo yako ndiyo yatayoamua pakubwa hatima yako akhera
Madarasa inatokana na madrasa,ni pahala panapotoa elimu ya mahusiano baina ya mja na mola wake,namna gani Aishi na binaadam wenzie,unyenyekevu na utu wa mwinyi unatoka madrasaElimu kwanza Madrasa za nini?
Nadharia kivipi?Bado ni nadharia na hakuna uthibitisho zaidi ni hadithi na maandiko ambayo mimi na wewe tumeyakuta na kuyaishi.
Ila Dua za kukuombea maghfira zinasaidia pia,rejea surat tawba '...umuombee Dua au usimuombee Dua, hata ukimuombea Dua Mara 70,mwenyezi Mungu hatomsamehe,hakika yeye alimkataa mwenyezi Mungu na mtume wake..' sikumbuki Aya ipo kwa wingi au umoja,lakini hapo ni dhahiri kwamba ikiwa mzikwaji alikua mtenda mema na muumini basi kumuombea Dua KunamsaidiaUpo sahihi Mkuu, japo mtoa mada alitaka kupindisha maana
Ushahidi wa maiti naombeniKwa uislam tofauti. Dua inamsaidia sana maiti
Thibitisha.Kwa uislam tofauti. Dua inamsaidia sana maiti
Kwamba kuna siku ya kiyama, siku ya ufufuo na kuzimu na peponi.Nadharia kivipi?
Ata kama una watoto 18 elfu.... kama Wewe uliishi maisha ya dhuruma na dhambi ata hao watoto wakikesha Kukuswalia ni kazi bure😭Mungu ana mpa Pepo yule anaishi kama alivyo elekeza na anavyotaka Yeye.Tusitishane Swali kabla ujaswaliwaDaah ila watu yaani mnatumia msiba kama fimbo za kuwatishia wengine. Kufa kupo tu karne na karne hakuna funzo hapo mkuu
Usilimu.Unataka kusema nini?
HahahaaaaAlichoandika hata hakieleweki.
Madrasa ni sehemu ya kwenda kuwakaririsha Watu na kuwafunza kuwa kumuabudu Mungu ni lazima uongee Kiarabu.Madarasa inatokana na madrasa,ni pahala panapotoa elimu ya mahusiano baina ya mja na mola wake,namna gani Aishi na binaadam wenzie,unyenyekevu na utu wa mwinyi unatoka madrasa