King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwa mujibu wa wizara ya afya ni kwamba hospitali ya Rufaa ya Chato itahudumia takribani watu milioni 18...
Mmmmhhhh hata KIMEI wakati anazindua CRDB chattle alisema MAGUFULI ndio alifanya UTAFITI na akasema mambo haya haya!! Hizo ni justification ,hivi wagonjwa mil 18 kwa mwaka unawajua kweli? Wagonjwa 700 kwa siku x 365 unapata mil 18? CCM mnapenda NAMBA lakini hamjui HESABU.