Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Hao chawa achana nao wasikupotezee muda.
 
Whens the system is leak ?

Mfumo unapokuwa unavuja huwa inatokea formula ya Chukua chako Mpaema .

Uwekezaji mkubwa unaharibiwa kirahisi hivyo .
 
Duu 😳😳 sasa wanataka nini, watoe order anyekamatwa wakachukue mpaka familia yake wote ndani maana familia zinajua ujinga huo, kama kaoa wakambebe na mkewe na watoto, kama Bado waswage wazazi wake .
 
Nchi ina Watu wajinga sana hii, ama kweli kuna binadamu Bado ni nyani..

Una haribu vipi mali yako
Huu uharibifu haujaanza leo.
Kwenye reli ya zamani waliiba nyaya zote za mawasiliano! Baadaye hata nguzo zote ziliibiwa.

Kuna wakati serikali ilishauriwa kupiga marufuku biashara ya vyuma chakavu, lakini hakuna hatua iliyochukuliwa!
 
Duu 😳😳 sasa wanataka nini, watoe order anyekamatwa wakachukue mpaka familia yake wote ndani maana familia zinajua ujinga huo, kama kaoa wakambebe na mkewe na watoto, kama Bado waswage wazazi wake .
Hizi hasira mngezielekeza kwa mafisadi wanaochota mapesa ya kodi, kuuza madini. Gesi na mabandari mngefika mbali sana.
 
Sasa hao ndio waliostahili kugongwa risasi.
Risasi zinapita kwa watu wasio na hatia, wenye uharibifu wataenda kula kodi zetu jela.
Hao wakikutwa tu dawa yao ni risasi.
 
Hebu siyo Kila wakati muonyesha vipaji vyenu vya kusodomolewa, wakati mwingine muwe mnatulia basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…