Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hao chawa achana nao wasikupotezee muda.Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Hàwa wàtu wànyongwe hàdharani, watakuja kuleta ajali za kuua watu wengi.Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Picha za kuunganisha matukio ntakuwa wamwisho kuziamini.Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Tarehe 24/05/2024 tukio Lina miezi 5+,acha kuzua taharukiBado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Hizo picha tu kazitoa karakana pale TMK KekoT
Tarehe 24/05/2024 tukio Lina miezi 5+,acha kuzua taharuki
Kwanini tujiumize? Kwàni kuwapiga risasi hao wapumbavu ni sh ngapi?Waweke fensi ya volt 400
Huu uharibifu haujaanza leo.Nchi ina Watu wajinga sana hii, ama kweli kuna binadamu Bado ni nyani..
Una haribu vipi mali yako
Hii ya kutengeneza kuficha ukweliBado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Hizi hasira mngezielekeza kwa mafisadi wanaochota mapesa ya kodi, kuuza madini. Gesi na mabandari mngefika mbali sana.Duu 😳😳 sasa wanataka nini, watoe order anyekamatwa wakachukue mpaka familia yake wote ndani maana familia zinajua ujinga huo, kama kaoa wakambebe na mkewe na watoto, kama Bado waswage wazazi wake .
Kwahiyo zikielekezwa huko nahuku waendelee kuiba na kuharibu eee?Hizi hasira mngezielekeza kwa mafisadi wanaochota mapesa ya kodi, kuuza madini. Gesi na mabandari mngefika mbali sana.
Wa kuiba mabilion ndiyo wamestarabika?Wizi wa kijinga kama wa hao ni ishara ya kuto staharahika
Hawa wakikamatwa wanyongwe tuu. Hakuna namna. Wanarudisha nyuma taifa zima.Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Unaendaje kuiba kijikoWa kuiba mabilion ndiyo wamestarabika?
Nakuunga mkono na hiyo kazi nipewe nitakeleza kwa furaha kabisaKwanini tujiumize? Kwàni kuwapiga risasi hao wapumbavu ni sh ngapi?
Hebu siyo Kila wakati muonyesha vipaji vyenu vya kusodomolewa, wakati mwingine muwe mnatulia basi.Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,