Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Bado tuna safari ndefu mno. Pichani ni hujuma zinazofanyika kwenye miundombinu ya Reli ya Kisasa (SGR)View attachment 3148683View attachment 3148684View attachment 3148685View attachment 3148687View attachment 3148688
Hujuma hizi si kwa SGR tu, watu wanakata vyuma kwenye madaraja, wanafungua vyuma vya nguzo kubwa za Tanesco, wanaiba taa za sola, wanaiba waya za umeme mitaani, mita za maji, vyuma kwenye reli za Tazara na TRC na nguzo za alama za barabarani. Tukisema wanaihujumu SGR ni kukuza mambo na kutuaminisha huo wizi mwingine ni wa kawaida usiohitaji kudhibitiwa, wizi unaofanyika kwenye SGR ulianza mwanzo tu mradi ulipoanza ikiwemo vifaa vya ujenzi na mafuta. Serikali inaweza kudhibiti haya kwa kusimamia biashara ya vyuma chakavu zinazofanyika kiholela nchini.
 
Hujuma hizi si kwa SGR tu, watu wanakata vyuma kwenye madaraja, wanafungua vyuma vya nguzo kubwa za Tanesco, wanaiba taa za sola, wanaiba waya za umeme mitaani, mita za maji, vyuma kwenye reli za Tazara na TRC na nguzo za alama za barabarani. Tukisema wanaihujumu SGR ni kukuza mambo na kutuaminisha huo wizi mwingine ni wa kawaida usiohitaji kudhibitiwa, wizi unaofanyika kwenye SGR ulianza mwanzo tu mradi ulipoanza ikiwemo vifaa vya ujenzi na mafuta. Serikali inaweza kudhibiti haya kwa kusimamia biashara ya vyuma chakavu zinazofanyika kiholela nchini.
Iyo kazi wapewe task force yenye jw na polisi maalum, wataisha na kuacha.
 
Huu ni uongo!hizo picha za kwao haohao SGR,na huo muhuri ni wa kuchonga kwa mzee Tambwe, hebu ona happ kwenye muhuli" ""mkuu wa kituo ---------- cha polisi"mbona muhuli wa mchongo kabisa?hilo dude ni bovu
 
Hapana, ni kutafuta mzizi halisi pasipo kumdhuru huyo aliyekamatwa ila naye cha moto akipate.
Mkuu,
Waswahili Wana misemo mingi Sanaa ""UKIONA MWENZAKO ANANYOLEWA ZAKO TIA MAJI""

HUJUMA KAMA HIZI HAZIKUBALIKI KABISA KWA VYOVYOTE VILE..
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Hatare
 
Sasa tuone weledi wa vyombo vya ulinzi na usalama... Sio kila siku chadema hivi chadema vile
 
japo siipendi ccm na serikali yao ninalaani vikali na nitafurahi wanaofanya haya wakamatwe na kupigwa risasi LIVE iwe fundisho kwa wengine. tabia za kima. kweli watanzania na ukima damudamu
 
Hujuma hizi si kwa SGR tu, watu wanakata vyuma kwenye madaraja, wanafungua vyuma vya nguzo kubwa za Tanesco, wanaiba taa za sola, wanaiba waya za umeme mitaani, mita za maji, vyuma kwenye reli za Tazara na TRC na nguzo za alama za barabarani. Tukisema wanaihujumu SGR ni kukuza mambo na kutuaminisha huo wizi mwingine ni wa kawaida usiohitaji kudhibitiwa, wizi unaofanyika kwenye SGR ulianza mwanzo tu mradi ulipoanza ikiwemo vifaa vya ujenzi na mafuta. Serikali inaweza kudhibiti haya kwa kusimamia biashara ya vyuma chakavu zinazofanyika kiholela nchini.
serikali ya kipuuzi inakawia nini kupiga marufuku biashara ya vyuma chakavu? ipigwe marufuku watu wakafanye kazi zingine. asiyeweza kuishi bila hiyo biashara ajiue yeye na familia yake.
 
Angekuwepo Dkt Magufuli yaani lilikuwa tamko moja tu hao wajinga wangekoma.
 
Kimsingi hata wanaouza vyuma chakavu na mateja wanafahamu wazi kuwa vyuma vya reli na vifaa vya tanesco Huwa hawavikaribii kabisa,Huwa wanavunja misalaba ya makaburi lakini cyo vyuma vya reli
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Bolded.

Kaka sinaskia kuhusu Hilo suala la gesi aliwapa wachina kama fidia ya wao kumuachia mwanae baada ya kumkamata na madawa ya kulevya kule china na mnufaika pale ni mchina pekee tu???
 
Back
Top Bottom