Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Picha: Hujuma nzito katika miundombinu ya reli ya SGR

Huu ni uongo!hizo picha za kwao haohao SGR,na huo muhuri ni wa kuchonga kwa mzee Tambwe, hebu ona happ kwenye muhuli" ""mkuu wa kituo ---------- cha polisi"mbona muhuli wa mchongo kabisa?hilo dude ni bovu
😂😂😂 Tarehe ya wizi 24/5
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Hii post iwe laminated
 
Ingekuwa wiring ya SGR ni rahisi kufikika namna hiyo tungekuwa tumeshashuduhia vifo vingi sana
 
Wa
Ina Maana Kesi Haijafikishwa Mahakamani Ama Hawajamkamata Mtuhumiwa
Usika wakuu ni raia feki awawezikufikishwa mahakamani wala kutajwa bali watafikishwa mahakamani vidagaa na baadae kesi kufutwa
 
Sasa bro we unashangaa hujuma kiduchu za kuiba copper zinazofanywa na wafanyakazi, choka mbaya! Ili kupunguza ukali wa maisha, unaacha kushangaa wizi, wa kikwete wa gesi yetu, wizi utakaodumu kizazi, na kizazi, pesa anachukua ye ye na familia yake, nchi inakosa mapato,jitu liliba rasilimali yq nchi yote!
Tuje kwenye escrow, meremeta, nk,
Wanajidai kutafuta wezi wakati MWIZI MKUU NA FISADI NO 1 YUPO NA SAMIA KILA SEHEMU ...MUHUNI ROSTAM AZIZI
 
Kwa nchi hii wanajulikana lakin hawatafanywa chocjote
Kwa sababu wametumwa kufanya huo uharamia na vigogo ambao ni wamiliki wa mabasi ya usafiri, lengo kuu hasa ni kuilinda ustawi wa biashara yako ya mabasi isizorote..

Nchii hii inakatisha tamaa kabisa ya kuendelea kuishi kwenye aridhi hii.
 
Kwa sababu wametumwa kufanya huo uharamia na vigogo ambao ni wamiliki wa mabasi ya usafiri, lengo kuu hasa ni kuilinda ustawi wa biashara yako ya mabasi isizorote..

Nchii hii inakatisha tamaa kabisa ya kuendelea kuishi kwenye aridhi hii.
Hii nchi ni ya kingese sana. Mi wala sifuatilii.
 
Tukumbushane tu, kuna wakati huko kanda ya ziwa watu walikuwa wanafungua nati za nguzo kubwa za Tanesco na kuchukua vyuma kwa ajili ya kutengeneza majembe ya kukokotwa na ng'ombe! Na huko Kilimanjaro walikuwa wanafungua nsti za nguzo hizo na kuziuza Kenya! Hilo la SGR lisikuzwe, nalo ni uhalifu kama huo mwingine.
 
Angekuwepo Dkt Magufuli yaani lilikuwa tamko moja tu hao wajinga wangekoma.
Kila kitu angekuwepo magufuli,ndio ayupo sasa tunafanyaje??! Mnapenda kuabudu binadamu wenzenu,utadhani Magufuli ndio alipigania uhuru wa hii nchi,

Serikali inafanya kazi kwa utaratibu sio kukurupuka wakateswa hdi wasiohusika,angekuwepo huyo unaemtaja lawama zote angeelekeza kwa wenye mabus bila kufanya uchunguzi
 
Nchi ina Watu wajinga sana hii, ama kweli kuna binadamu Bado ni nyani..

Una haribu vipi mali yako
Halafu mpumbavu wa aina hiyo anakuja kuanzisha uzi unalaumu eti hakuna kilichowahi kufanywa na serikali tangu nchi ipate uhuru!.

Ni akili za kinyani sana.
 
Wanatakaje Hao
Isitembee Ama Nini
Level of understanding + umasikini.

Hao waliofanya hivyo sidhani hata neno 'hujuma' lilikuwa kwenye akili zao, bali wao walikuwa wanaangalia kipato baada ya kuuza hizo nyaya.
 
Back
Top Bottom