Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wewe, warumi na Mrembo by Nature.....sichezi na nyie.
ndio nini hamjanishtua kwa uzi ule.....nimekuja mwishoni umeshapigwa mstari Mwekundu....nini mbaya.
Sichezi na nyie.....sichezi na nyie
Nilikuita mwanzo kabisa uje uone vituko vya Lucy hukuja nikajua utakua na buzi, mimi sichezii na nyie aisee nimeogopa kiama ile michambo unaweza meza wembe ujue
Last edited by a moderator: