Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
Ni habari picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂jokateHio pisi ni kama DC fulani hivi
unakuta babu yako anakwambia zamani kule masaki viwanja ilikuwa elfu5 tuu.nilibembelezwa ninunue nikaona siwz kuishi huko porini..Mlikuwa mnaishi maisha ya hovyo sana bila Internet, betting, Fa premier league, uefa champions league, Whatsapp, bila Pizza, burger name them all.
Na ndio nyie vijana wa miaka iyo mmefanya sasa hivi kizazi chetu tunaishi kwa dhiki shida na ufukara. mlikuwaa hamna vision na Mustaqabal kuandalia maisha bora ili na sisi tuendelee kuandalia maisha bora kizazi kijacho.
Mlikuwa mpompo tu kuendekeza anasa uchwara wakati vijana wengine wa wakati huo Singapore, Malaysia na South Korea walikuwa wanapiga mzigo na mikakati wakiangalia future ya kizazi kijacho na kweli walifanikiwa.
Nyie hadi leo mnatuacha tunakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme inayogharimu matrilion ya mkopo SRG inakatiza.
Sasa mnatuletea mipicha na
Yani wee acha tu. Na sisi vijana wa kizazi hiki hovyo tu kama hao wazaman8. Tunamielimu zetu uchwara ambazo hazitusaidii to live a meaningful life. Yote haya yamesababishwa na vijana wa zamani 70, 80 na mwanzoni hadi 90s katikati. Wee angalia vijana hopeless wa zamani kama johnthebaptist buree kabisa.unakuta babu yako anakwambia zamani kule masaki viwanja ilikuwa elfu5 tuu.nilibembelezwa ninunue nikaona siwz kuishi huko porini..
unaweza kukuta umempiga kelbu moja akafie huko
........!Yani wee acha tu. Na sisi vijana wa kizazi hiki hovyo tu kama hao wazaman8. Tunamielimu zetu uchwara ambazo hazitusaidii to live a meaningful life. Yote haya yamesababishwa na vijana wa zamani 70, 80 na mwanzoni hadi 90s katikati. Wee angalia vijana hopeless wa zamani kama johnthebaptist buree kabisa.
hata kizazi kijacho kitatoa kauli hizi hizi usijione umefikaaMlikuwa mnaishi maisha ya hovyo sana bila Internet, betting, Fa premier league, uefa champions league, Whatsapp, bila Pizza, burger name them all.
Na ndio nyie vijana wa miaka iyo mmefanya sasa hivi kizazi chetu tunaishi kwa dhiki shida na ufukara. mlikuwaa hamna vision na Mustaqabal kuandalia maisha bora ili na sisi tuendelee kuandalia maisha bora kizazi kijacho.
Mlikuwa mpompo tu kuendekeza anasa uchwara wakati vijana wengine wa wakati huo Singapore, Malaysia na South Korea walikuwa wanapiga mzigo na mikakati wakiangalia future ya kizazi kijacho na kweli walifanikiwa.
Nyie hadi leo mnatuacha tunaendeleakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme inayogharimu matrilion ya mkopo SRG inakatiza.
Sasa mnatuletea mipicha na mivideo zenu humu chwara mkiendekeza anasa.
Bure kabisa mmetulostisha vibaya sana.
kama wewe unavyoshindwa kununua kagari ka m3 unabaki kupauka na jua tu kiasi kwamba hata madem hupati unabaki kupiga puchu na sabuni ndio hivyo zinapanda wajukuu wako watakusimanga babu ulishindwa hata kununua kahaba kwa buku 30 na kagar ka kakuvimbia ka m3 siku hiyo ndio utajua babu yako kwa nini aliona masaki porini,na hapo hapo mjukuu wako sio atakutia kelbu utapigwa chuma 🔫ufe sababu hukuwa na faida,, kumbe hakujua tu samia alikaza😂😂😂😂unakuta babu yako anakwambia zamani kule masaki viwanja ilikuwa elfu5 tuu.nilibembelezwa ninunue nikaona siwz kuishi huko porini..
unaweza kukuta umempiga kelbu moja akafie huko
Watu waliambiwa wafunge mkanda. Ukikamatwa umekunywa chai na viazi unapewa kesi ya uhujumu uchumi, chachacha vilikuwa viatu vya watu wenye pesa tena wadosi na wamanga. Ukibahatika kupata kipande cha sabuni tena kwa njia za panya utalazimika kufua nguo zako usiku tena chooni afu povu utupie shimoni. Dah nje ya mada lkn ashukuriwe mzee Rukhsa kwa kuijenga kesho ya watanzania wengi. Maana bila yeye sijui kama taifa tungekuwa wapi.Mlikuwa mnaishi maisha ya hovyo sana bila Internet, betting, Fa premier league, uefa champions league, Whatsapp, bila Pizza, burger name them all.
Na ndio nyie vijana wa miaka iyo mmefanya sasa hivi kizazi chetu tunaishi kwa dhiki shida na ufukara. mlikuwaa hamna vision na Mustaqabal kuandalia maisha bora ili na sisi tuendelee kuandalia maisha bora kizazi kijacho.
Mlikuwa mpompo tu kuendekeza anasa uchwara wakati vijana wengine wa wakati huo Singapore, Malaysia na South Korea walikuwa wanapiga mzigo na mikakati wakiangalia future ya kizazi kijacho na kweli walifanikiwa.
Nyie hadi leo mnatuacha tunaendeleakunya porini ambapo reli ya kisasa ya umeme inayogharimu matrilion ya mkopo SRG inakatiza.
Sasa mnatuletea mipicha na mivideo zenu humu chwara mkiendekeza anasa.
Bure kabisa mmetulostisha vibaya sana.
Nimecheka sana hapo kunywa chai na viazi. Nyerere alikuwa Saddist sana hadi kwa watoto wake hakupenda kuwaona wanafuraha na maendeleo.Watu waliambiwa wafunge mkanda. Ukikamatwa umekunywa chai na viazi unapewa kesi ya uhujumu uchumi, chachacha vilikuwa viatu vya watu wenye pesa tena wadosi na wamanga. Ukibahatika kupata kipande cha sabuni tena kwa njia za panya utalazimika kufua nguo zako usiku tena chooni afu povu utupie shimoni. Dah nje ya mada lkn ashukuriwe mzee Rukhsa kwa kuijenga kesho ya watanzania wengi. Maana bila yeye sijui kama taifa tungekuwa wapi.