Kuna baadhi ya posts ni zenye kuudhi,hii ni mojawapo.Ila kwa kuwa sina uwezo wa kupanga nini kirushwe humu,basi tu.Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake🙏
Mtoto mdogo anatakiwa kulindwa dhidi ya unyanyasaji.Kutuma picha za mtoto ni unyanyasaji bila kujali ni wa nani.Wahusika washauriweMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake🙏
Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake[emoji120]
Hivi ndio aliyepandikizwa au?Dada wa taifa alisema ni matunda ya kodi zetu.
Ila ni kazuri sana.
Kitanda hakizai haramu.Mkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake[emoji120]
Kamefanana na TiffaMungu amwongoze Keagan, ampe afya njema na amjaalie ufahamu (asifate akili za baba yake)[emoji18]
Ila mdomo kama wa Diamond Platnumz huo, au macho yangu yameanza kunidanganya.
Duuuh tecno kabisa hii sijui imetengenezewa mji gani huko chinaMkuu wa mkoa wa Dares salaam Paul Makonda leo 24/10 anaazimisha miaka 7 ya ndoa yake ,hili limeenda sambamba na kuonyesha sura ya mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii. Mungu ampe afya njema mtoto huyu pamoja na wazazi wake[emoji120]
ShanghaiDuuuh tecno kabisa hii sijui imetengenezewa mji gani huko china
Ukitekwa utasema "I Am hate for them" we subiri tu.Am happy for them.
Ukitekwa utasema "I Am hate for them" we subiri tu.Am happy for them.
Ukitekwa utasema "I Am hate for them" we subiri tu.Am happy for them.