macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Moja ya vitu vilifanya Magufuli aonekane mbovu kabisa ni kutokuwa na maono. Ni kweli alikuwa anajiamini na alikuwa anaamini sisi wenyewe ndiyo tutajiletea maendeleo, lakini hakuwa na maono. Alijaa ubinafsi, kupenda kuabudiwa na ukosefu wa maono.Wakipatikana viongozi wenye maono mnawauwa na kuwapinga kijuha,acheni tuteseke tu
SenselessMoja ya vitu vilifanya Magufuli aonekane mbovu kabisa ni kutokuwa na maono. Ni kweli alikuwa anajiamini na alikuwa anaamini sisi wenyewe ndiyo tutajiletea maendeleo, lakini hakuwa na maono. Alijaa ubinafsi, kupenda kuabudiwa na ukosefu wa maono.
Call it whatever you want. Ukweli utabaki palepale. Alikuwa mbinafsi, mpenda kuabudiwa na muuaji.Senseless
Inasikitisha kwa kweli. Halafu kutwa wanatuimbia tupende amani na utulivu kumbe ili wazidi kula mali za taifa kiulainiHivi tatizo no Wazungu au hulka ya Binadamu anapotafuta Mamalaka na Nguvu ...kiuchumi,kisiasa na hata kijamii!
Sidhani Kama huwa tunatafakari vema ktk hili!
Hivi Kuna tofauti gani na hii leo!
Kama kunaa mtu analipwa Kila mwezi Milioni 12, na Kuna watoto wanakaa chini ili wasome!
Au mtu anaendeshwa kwenye Gari la 200+ M ,ana3nda kuzindua tundu la choo lililojengwa na JICA,COICA ,USAID au World Vision!?
Kama Kuna watu wanalipwa mishahara Laki moja ,Hulu posho ya Kujikimu ya Afisa was Serikali no 120,000 kkwa siku au watu wanalipana Extra Duty allowances laki 4 kwa mwezi!
Mimi sioni tofauti ya Ukoloni wa kale na huu wa Sasa!
Wewe na mimi tunatoka kijiji kimoja mbona unayoyasema sijayasikia! Sema tu hiyo ni hisia yako, lakini kuongopea kijiji chetu acha.Hoja ya kupenda au kupendwa ndo msingi wa tatizo.. kwanini utake kupendwa? Tatizo ni kwamba hatupigi kazi, na hata pale tunapopiga kazi tunachokipata hatukitumii ipasavyo.. Lkn pia sisi ni waongo waongo.
Mfano; kijijini kwangu kote tunaamini mradi wa Stigler's tunaulipa kwa pesa ya kodi yetu na kubana mishahara ya wafanyakazi, kumbe tumeenda kukopa huko nje.. Hapo mzungu anahusikaje?
Tatizo sio wao ni sisi hivi mzungu mmoja weusi 6 wanashindwa hata kumpa kifir…o kweli?. Mfano kaja mjeda kitaa na smg halafu alete ungese mama…e zake.
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Samahani, nilisahau. Kumbe ni Serikali ya Chadema ndo haikuongeza mishahara kwasababu pesa zilielekezwa kwa Stigler's; na pia haikukopa kabisa kwasababu mikopo ina masharti magumu sana---Wewe na mimi tunatoka kijiji kimoja mbona unayoyasema sijayasikia! Sema tu hiyo ni hisia yako, lakini kuongopea kijiji chetu acha.
Bora Juha ana akili hata ya kumsindikiza choon...ZUZU ndio balaa kbsAcha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Inawezekana hili maana kwa jinsi mzungu akija africa mtu anaweza kumgawia mzungu ht mke alale nae..hili lilitokea kenya.Kanye West anakwambia waafrica walipenda wenyewe kutawaliwa.
Labda tuliumbwa kwuatumikia, yani haiwezekani tushindwe kujiongeza. Binadamu anatawala wanyama wengine kwasababu ana akili kuliko wao. Je, hawa wanatutawala kwasababu wana akili kuliko sisi?Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...
Kabisa mkuu, yani mtu anachanganyikiwa kabisaInawezekana hili maana kwa jinsi mzungu akija africa mtu anaweza kumgawia mzungu ht mke alale nae..hili lilitokea kenya.
Inawezekana babu zetu walipenda hilo hata
Unge m-cc erithro mzee wa kuwabariki wazunguMungu wabariki wazungu
Kwani hao babu zenu waliobeba mzungu wana tofauti gani na dereva wa waziri ,wote wote ni madereva tu.kumbuka hao wabebaji walikuwa wanalipwaMababu zetu walikua wapumbavu sana
At least K.A.R Gallant Idd Amin worked out his revange to these pigs. I enjoyed watching Amini bieng carried over by the British pigs. Unlucky he wasnt a good neighbor to dream of.
Sky.. Nakupenda.. ila acha kutuongopea.. hio picha ni ya mwaka 1930.
Zamani na mimi nilikua na fikra kama wewe.Mababu zetu walikua wapumbavu sana
Acha kuwaonea ndugu, kwa sasa tunabebana waswahili kwa waswahili kwa kuangalia mfuko wako una mini!?Acha tu, na watahakikisha tunaendelea kuwa hivyo mpaka mwisho wa dunia, wanajifanya wanatupenda, wanataka tuendelee, uwongo mtupu, wao wawe matajiri lazima wanyonye binadamu wenzao, kwa kila aina yan njia, anayekwambia mzungu anakupenda na ukaamini ujuwe wewe JUHA...