Tu-assume ujenzi utaenda mfululizo kwa siku saba so tufanye 10,000×7=70,000/= ukiongeza hapo 5,000/= una cement mifuko mitano kama unapandisha tofali hiyo mifuko inapiga karibia mizunguko minne hapo hujaokoa kitu?Sasa nikichukua hiyo nafasi ya kibarua ambaye analipwa elfu 10 kwa siku ndio nitakuwa nimeokoa nini?
Mkuu,Kwani hiyo picha hadi imekaa hivyo si imetokana na ramani
Inawezekana kabisa kama nyumba ya matope vileeWe unahisi inawezekana kutumia mchanga na cement kujenga?
Professional hawezi kujibu maswali kirahisi tu namna hiyo mkuu. Ukileta picha, omba mtu adizain kulingana na picha then upate makadirio. Huwezi kupewa makadirio kirahisi tu namna hiyo. Dr hawezi kufanya diagnois kwa kukuangalia tu usoni, msirahisishe fani za watu namna hiyo.Mafundi wa kibongo wowote wengi wao ni full ujanja ujanja tu na maneno meengii utadhani waga sio professional
Kwani mkiwa mna design ramani waga kuna sehemu mnaigilizia? Si unauliza mtu anataka nyumba yake iweje na wewe fundi/architecture una design kulingana na mahitaji ya mteja
Sasa jamaa karahisisha kabisa Kwa kuleta picha, it's okay, hakuna anaejua dimension za vyumba,dining nk ila umeona picha ya mwonekano wa nje hiyo ndo kazi yako sasa
Hapo ndio sehemu ya kujitofautisha wewe fundi/architecture na mteja, sasa fundi unaanza ohhh unajua hapo hatujui ndani pakoje, ohhh unajua hapo chini ukiweka beam gharama itakuwa kubwa
Ohhh ohhh nyingi WTF, kaa chini toa kitu kuhusu Mambo ya gharama ashindwe mwenyewe muhusika, kama unabuni ramani kutoka kichwani sasa unashindwa nini kubuni ramani kutoka kwenye picha?
Hiyo sio Gorofa ni kigorofa, so hizo process ndefu unazosemea sijui ni zipi! Nondo na kokoto sioNaona unapepelea sana, Hadi nahisi huenda wew ndiye mnufaika wa hiyo project. Samahani!
Labda tukuambie hivi, hiyo ni ghorofa, Si kila fundi atakujengea. Process zake ni ndefu pia
Majibu yote unayo, Sasa ulikuja hapa ili usaidiwe niniHiyo sio Gorofa ni kigorofa, so hizo process ndefu unazosemea sijui ni zipi! Nondo na kokoto sio
Kwa foundation ipi? Mil 16 hata hiyo roof huwezi kujenga aiseeHii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)
Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga hiyo nyumba kwa kiasi hicho Cha pesa basi atapata wateja wengi sana maana nimeona watu wengi wamemuomba mawasiliano yake japo wapo watu walio doubt kwamba ni japo lisilowezekana.
Halafu pia kwenye Comment Section kupitia hiyo tweet yake nimeona jamaa Kasema kwao mfuko mmoja wa cement ni Naira 8,400 ambayo ni sawa na Tsh 26,700, hiyo ni gharama kubwa sana ukilinganisha na bei ya huku kwetu ambayo inachezea kwenye 16,500 hadi 18,000 je kwa fact hiyo inawezekana kushusha mjengo kama huo kwa milioni 16 pekee
Eniwei, Mimi nimeipenda hiyo ramani hata kama itanicost milioni 50 fresh tu ilimradi kitu kitoke kama kilivyochorwa hapo japokuwa jamaa kasema hiyo design ni best suitable for 2 bedroom ila Binafsi ningependa iwe 3 bedrooms hata kwa ku convert hiyo Car garage hiyo hapo chini to another room
Kuna Eng hapa Bongo anaweza modify hiyo ramani iwe 3 bedrooms instead of 2 bedrooms?View attachment 2683359
Mailioni hizo ulizotaja iwe kama tunavyoiona hapo kwenye picha au ifike katika levo gani ya ujenzi?Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)
Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga hiyo nyumba kwa kiasi hicho Cha pesa basi atapata wateja wengi sana maana nimeona watu wengi wamemuomba mawasiliano yake japo wapo watu walio doubt kwamba ni japo lisilowezekana.
Halafu pia kwenye Comment Section kupitia hiyo tweet yake nimeona jamaa Kasema kwao mfuko mmoja wa cement ni Naira 8,400 ambayo ni sawa na Tsh 26,700, hiyo ni gharama kubwa sana ukilinganisha na bei ya huku kwetu ambayo inachezea kwenye 16,500 hadi 18,000 je kwa fact hiyo inawezekana kushusha mjengo kama huo kwa milioni 16 pekee
Eniwei, Mimi nimeipenda hiyo ramani hata kama itanicost milioni 50 fresh tu ilimradi kitu kitoke kama kilivyochorwa hapo japokuwa jamaa kasema hiyo design ni best suitable for 2 bedroom ila Binafsi ningependa iwe 3 bedrooms hata kwa ku convert hiyo Car garage hiyo hapo chini to another room
Kuna Eng hapa Bongo anaweza modify hiyo ramani iwe 3 bedrooms instead of 2 bedrooms?View attachment 2683359
Vyumba viwili, ukubwa miguu 15 Kila upandeMkuu,
Kwenye hiyo picha unaweza kujibu yafuatayo;
... vyumba vingapi?
...vyoo vingapi?
...sitting/dunning ipo?
...size ya vyumba, sebule, jiko na vyoo?
...kuna corridors au niaje?
Kama huna hayo majibu, as huna dimensions. Unawezaje kuuliza kama 16m inatosha au vipi.
Okay, Dr anaweza kuhisi unaumwa nini kutokana na maelezo yako pasipo ata kukupima DamuProfessional hawezi kujibu maswali kirahisi tu namna hiyo mkuu. Ukileta picha, omba mtu adizain kulingana na picha then upate makadirio. Huwezi kupewa makadirio kirahisi tu namna hiyo. Dr hawezi kufanya diagnois kwa kukuangalia tu usoni, msirahisishe fani za watu namna hiyo.
Huu Ushauri wako unamfaa jobless, na sijui ni jobless gani huyo anaweza akajenga nyumba hata ya room mmoja ikiwa yeye ni joblessTu-assume ujenzi utaenda mfululizo kwa siku saba so tufanye 10,000×7=70,000/= ukiongeza hapo 5,000/= una cement mifuko mitano kama unapandisha tofali hiyo mifuko inapiga karibia mizunguko minne hapo hujaokoa kitu?
Wabongo tunakwama tunapoanza kudharau hela ndogo,ujenzi hauna hela ndogo.