Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Wakati anauwawa alikua kwenye hayo magwanda?

Vp mtanzania mwingine, Clement, nae kuna picha yake akiwa kapigilia hayo mavazi?

Kwanini Palestine hawatoi tamko kukanusha au kutoa upande wao wa story badala ya nyie kuja na utetezi wenu wa kuungaunga? Hili nalo linahitaji ruhusa ya Israel?

TZ imeiunga mkono Palestine toka enzi za Nyerere aliyekua mkatoliki kindakindaki just for them to give this payback. Hakuna cha maelezo, pole wala jitihada zozote zile. Smh
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF

View attachment 2845967
Na hiki kiganja cheupe kabisa ni cha Joshua?

 
Israel si sehemu salama miaka na miaka tuache kwenda huko sio kila fursa ni fursa
hata uarabuni kwa ujumla , kule sio salama kwenda ku hustle. Tena kwa ngozi zetu hizi dah! Wenyewe wakija huku the way wanavyowa treat blacks kimadharau , ukienda huko kwao je!
 
Mimi zungumzeni yoote leteni propaganda zoote ila waliomuua Joshua ni waisrael. Halafu haya mambo ya kusema et wao ni wachaguliwa wa Mungu sijui nn ni ujinga tu na hayana maana yoyote. Wale ni wauwaji. Kama sio Leo basi kesho haki kwa wapalestina itapatina tu. Mimi si muislam na Wala Sina ushabiki wa kidini. Ubabe wa marekani na Israel kwa Imani yangu utaendelea lakini wao pia hawatakuja wakae kwa uhuru na amani. Joshua kauwawa na hao hao waisrael.
 
Mkome mkome mkome.

Kwenda kujipendekeza Israel manina zenu.

Pelekeni wanafunzi wengine tena wakaliwe vichwa. Mamaee.

HAMAS chinja mashogaaaa
Katahira kakubwa wewe umekalia umaskin hapo newala umabana pua mk...Wako
Huyo alkuwa kusoma sio zezeta kama wewe uliyekimbia umamde
 
Nyie magaidi mtalipa tu

Waarabu wenu waliopo hapa Tanzania watalipa
 
Vita ya Hamas na israeli haina uhusiano na dini . Gaza makanisa na wakristo wamepigwa mabomu na israeli unalijua hilo? Hamas ni wapigania uhuru wa palestina
Waongo katika ubora wenu,mlitaka mjifiche makanisani,hospitalini,misikitini ili iwe kinga?viumbe wa hovyo kweli nyinyi!
 
Vita ya Hamas na israeli haina uhusiano na dini . Gaza makanisa na wakristo wamepigwa mabomu na israeli unalijua hilo? Hamas ni wapigania uhuru wa palestina
Hujui kitu pengine ni kutokana n'a ufinyu WA Elimu
Hamas n magaidi maana yenyewe Yana dola yao ndani ya palestina,yaani eneo la Gaza serikali ya Palestine haifiki yamekalia yenyewe na Yana jeshi lake na serikali yake Hao sio magaidi?
 
Back
Top Bottom