Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Vita ya Hamas na israeli haina uhusiano na dini . Gaza makanisa na wakristo wamepigwa mabomu na israeli unalijua hilo? Hamas ni wapigania uhuru wa palestinaWaislam mnatengeneza picha za kubumba ili kuhalalisha mauaji ya HAMAS
Na hiki kiganja cheupe kabisa ni cha Joshua?Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.
Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?
Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.
View attachment 2845943
Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.
View attachment 2845950
Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.
View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?
Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.
Hili ndio kundi lililomuua Joshua
View attachment 2845957
Hapa wakiwa katika picha ya pamoja
View attachment 2845958
.........................
Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia.
Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.
Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?
Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.
Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF
View attachment 2845967
hata wajitetee vipi haiondoi ukweli kwamba hawa ndugu waarabu wana hatred na wamefundishwa chuki beyond repair.Hatari sana hiyo
Israel si sehemu salama miaka na miaka tuache kwenda huko sio kila fursa ni fursahata wajitetee vipi haiondoi ukweli kwamba hawa ndugu waarabu wana hatred na wamefundishwa chuki beyond repair.
hata uarabuni kwa ujumla , kule sio salama kwenda ku hustle. Tena kwa ngozi zetu hizi dah! Wenyewe wakija huku the way wanavyowa treat blacks kimadharau , ukienda huko kwao je!Israel si sehemu salama miaka na miaka tuache kwenda huko sio kila fursa ni fursa
Mkuu hiyo dini allah kahalalisha uongo mradi tu ni ya kwa ajili ya kuitetea dini!sidhani kama kuna dini duniani ya hovyo kama hii.Waislam mnatengeneza picha za kubumba ili kuhalalisha mauaji ya HAMAS
Kisa magaidi Hamas yameumbuka? Idiot kabisa wewe mwarabu kokoVita ishakuwa na propaganda wala haifai hata kufuatilia kabisa..
Alijiunga lini na jeshi? Alitekwa Siku ya tukio,eneo lao ni mpakani na GazaKatika ujinga wewe ni wa kiwango cha Juu sana
Alienda kusoma wewe hayo ya kujiunga na jeshi umeyatoa wapi?
Hiyo dini imekufanya uwe mpumbavu
Kwani nakulazimisha ?Kisa magaidi Hamas yameumbuka? Idiot kabisa wewe mwarabu koko
hata wajitetee vipi haiondoi ukweli kwamba hawa ndugu waarabu wana hatred na wamefundishwa chuki beyond repair.
Katahira kakubwa wewe umekalia umaskin hapo newala umabana pua mk...WakoMkome mkome mkome.
Kwenda kujipendekeza Israel manina zenu.
Pelekeni wanafunzi wengine tena wakaliwe vichwa. Mamaee.
HAMAS chinja mashogaaaa
Waongo katika ubora wenu,mlitaka mjifiche makanisani,hospitalini,misikitini ili iwe kinga?viumbe wa hovyo kweli nyinyi!Vita ya Hamas na israeli haina uhusiano na dini . Gaza makanisa na wakristo wamepigwa mabomu na israeli unalijua hilo? Hamas ni wapigania uhuru wa palestina
Unajaribu kutetea magaidi lakini vídeo imewaumbueniKwani nakulazimisha ?
Unajaribu kutetea magaidi lakini vídeo imewaumbueniKwani nakulazimisha ?
Unajaribu kutetea magaidi lakini vídeo imewaumbueniKwani nakulazimisha ?
Unajaribu kutetea magaidi lakini vídeo imewaumbueniKwani nakulazimisha ?
Hujui kitu pengine ni kutokana n'a ufinyu WA ElimuVita ya Hamas na israeli haina uhusiano na dini . Gaza makanisa na wakristo wamepigwa mabomu na israeli unalijua hilo? Hamas ni wapigania uhuru wa palestina