Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Picha inayohusishwa kuwa ni Joshua akiwa katika gwanda za Jeshi la Israel

Dini mnaisingizia sana...
Hao Waisraeli mnaowatetea wenyewe hawako kwenye dini...
70% wanamsubiria Yesu aje kwa mara ya kwanza🤣
Hakuna anayeongelea udini hapa.
Tunaongea suala la kuuliwa mwananchi mwenzetu.
Mnadhani kila anayeongelea hili suala ni mkristo? Tupo tusioamini kwenye dini yoyote ile. Na vilevile kila mtu ana haki kuwa upande wowote ule anaoutaka.
Hamas ni barbarians, wanasema wataua wageni wote wataowakamata ambao wako upande wa Israel. Wao ni nani kuwapangia watu wa mataifa mengine kutokanyaga Israel?
Ni chama cha mrengo wa kigaidi wakikumbatia mafundisho ya itikadi kali kwamba waue wakristo na wayahudi. Period.
 
Ujinga kivipi wakati gadafi aliwaomba wauaji wake wasimuue lakini wakamuua, joshua akuomba hao wauaji wasimuue ila wakamuua, sasa tofauti iko wapi tena wote walifanya hayo mauaji wakimtamka mnyanzi mungu.
“He who conceals hatred has lying lips, and he who spreads slander is a fool” (Prov. 10:18).
 
Yaani sioni namna mnaweza kukisafisha hicho chama cha Hamas kwenye hili. Hiyo picha ni photoshopped. Huenda mleta mada hukua unajua hilo.
Hakukua na justification yoyote kumuua Joshua.
Hao washenzi udini na ujinga umetamalaki kwenye mabichwa yao sawa na wenzao wengi waliojazana huku Afrika.
Hivi umeelewa mada vizuri ndugu?
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
IQ mithili ya decimal 0.000000000001
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Hili jibu langu haliwalengi waislamu wote. Some of you believers of Allah mna indoctrination ya chuki iliyopita kiasi. Mtanzania mwenzetu ameuawa (I said what I mean to say) mnakazana na conspiracy theories ili kujustify au kuhalalisha kifo cha Mtanzania mwenzetu but siwalaumu sana, as much as you guys remain to be absolutely disgusting. Mnafundishwa chuki, kuchukia the west, and hating kuffars. Mnakuwa indoctrinated kuwachukia mnaowaita Mayahudi (disgusting). One of the most hateful ideologies kuja katika dunia ni hii. Imagine ndugu wake wa karibu aone huu upuuzi. Sometimes, weka udini pembeni and have empathy and stop being a disgusting twat
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Utakuwa held responsible for assassination of character aisee
 
😚🙏
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
🙏🙏
 
Mi nnacho jiuliza kwa nn Joshua alikuwa anaishi mazingira au sehem ambyo c salama kwake
Unamaanisha nini?
Unajua usalama wa Israel?
Pale SUA pana mazingira gani salama ya kuzuia hata vibaka wanaotumia bisibisi tu?
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Wabongo tuache "sensentionalization" Ya vitu vidogo, kama mna uchungu na damu ya mbongo, mbona hatuoni makala za, mauaji ya makada wa chadema, kama mawazo aliyekatwa mapanga,!
Kuvaa vazi au kitu chenye kufanana na mavazi ya jeshi, haikufanyi uwe mwanajeshi,kule Dar, watu wanatembea na mavazi na mabegi kama ya jeshi, je wamekua wanajeshi?
Isiwe nongwa kwa vile tu, ameuliwa na Arabs, maana kama mna uchungu sana, anzeni kuomboleza vifo vyote walivyofanya kenge wa CCM,
Mateka wote wa Hamas, ama wamekufa kwa mabomu, au kupigwa risasi,
Sasa huyu ilikuaje akauliwa kama vile alikutwa uwanja wa Vita?
Kuna Mambo hayajawekwa wazi, sio waziri, wala barozi wetu ambaye ametoa maelezo.
 
Jeshi la Hamas ni nadra sana kuvaa kiraia, pia huficha nyuso zao kamwe hazionekani. Lakini wauwaji wa Joshua walikua hawana nguo za jeshi wamevaa kiraia na pia nyuso zao zilikua wazi.

Kwanini Hamas hufunika nyuso zao?

Hamas daima hufunika nyuso zao. Watu hawa, ambao hawajajulikana ni wakina nani haswa, hujitokeza katika kila taswira na miundo tofauti ya barakoa.

View attachment 2845943

Vinyago vyao vina madhumuni mawili: vinafanya kazi kama ngao ya kulinda kutokujulikana licha ya athari zinazoweza kutokea, na pia hutoa taarifa yenye nguvu. Kinyago kinakuwa ni nembo ya fumbo katika masuala ya usalama ya mtu binafsi na msimamo wao wa kiitikadi.

View attachment 2845950

Chaguo lao la kutokujulikana ni uamuzi uliojaa sayansi ya mikakati - iwe kwa tahadhari, hofu, au mchezo wa kimkakati katika itikadi.

View attachment 2845945
..........................
Je kwenye tukio la Joshua Hamas waliamua kuvaa kiraia na kutokufunika nyuso?

Jibu ni Hapana ispokuwa siku hiyo kulikuwa na raia wengi wa Gaza wakifanya kama Hamas, baadhi ya raia walikuwa na silaha na walikuwa wakiendesha magari yaliyotumika katika vita. Kwa hiyo hawa si Hamas na kwa bahati mbaya inasemekana wote wameshakufa waliomuua Joshua.

Hili ndio kundi lililomuua Joshua

View attachment 2845957

Hapa wakiwa katika picha ya pamoja

View attachment 2845958

.........................

Wapembuzi wanadai kwamba, Joshua kuvalia boxer ya jeshi sio kosa, labda kuna kosa lilifanyika ndio maana wakamchukulia sheria mkononi. Israel inawakaribisha watu kujiunga na IDF ili kuwapigania, na watu waliomkabili Joshua sio Hamas bali ni watu kutoka west bank, Hamas hawaonekani hadi sasa. Jambo gumu ni kwamba Waisraeli wao wanazungumza Kiarabu pia. Je, kila anayemtaja Allahu Akbar (Mungu ni mkubwa) anapofanya vitendo hivyo ni Mwislamu? jibu ni hapana.

Joshua hana hatia kabisa hata kama alijiunga kulitumikia jeshi la Israel, na kusababisha vikwazo kwa wapinzani kufikia lengo lao. Bado hana hatia ya kuuawa namna ile, kwasababu kujiunga kwake na IDF huwenda hakuwa na namna ila kufanya hivyo.

Kwanini wauaji sio Hamas, ni kwasababu Mwanafunzi wa kilimo aliyeenda Israel, kisha akaishia mateka huko Gaza, ilikua vipi akafika Gaza? kufanya nini? Hamas walimpata vipi?

Tuseme alikua miongoni mwa wale ambao walichukuliwa mateka kwenye shambulio la Okt 7 na Hamas ambapo ripoti zimeonyesha kuwa aliuawa mara moja, hata hawakumuweka hai kwa saa nyingi kusubiri mazungumzo.

Je, alikamatwa na kuuawa hapo hapo Israel? au alisafirishwa na baiskeli yake hadi Gaza?
...................

Tuashumu hiyo baskeli sio ya Joshua na hao waliohusika hapo ni Hamas:

Picha itakuwa hivi:

Inaonekana kana kwamba mpiganaji wa hamas alikuwa akijaribu kumzuia mtu asiyejulikana kwenye baiskeli akitaka kumchoma kisu Joshua.

View attachment 2846369
..........

Picha inayofuata itakua hivi
Inaonekana kama huyo muhusika aliekuwa akizuiliwa alifanikiwa kumchoma kisu cha shingo joshua, kwasababu kisu kilikua na damu na tayari Joshua alidondoka chini kabla ya kupigwa risasi.

View attachment 2846377

Huenda Joshua alikuwa mtu wa kawaida tu ambaye alivuka mpaka na baiskeli yake na hakuwa na uhusiano na kikundi chochote cha upinzani. Lakini waliomshambulia walikua ni raia waliojivika uhamas.

Tukumbuke kwamba Kulikuwa na wapiganaji wengine mbali na hamas ambao walifanya ukatili huu. Je, kuna yeyote anayeweza kuthibitisha hawa walikuwa ni kundi gani? Pia, matendo ya watu hawa kamwe hayatahalalisha kile ambacho Israeli wanafanya Palestina.

Maneno ambayo yalisikika kwenye ile video ni haya hapa.

HAMAS 01: Usiogope na wala usidanganye, Je! Mmetushambulia? Mmetushambulia?. Umefanya mashambulizi yoyote?
HAMAS 02: Wenye Bunduki sogeeni karibu/Njoeni ili aweze kukiri kama ameshambulia au laa.!
HAMAS 03: Tulieni enyi vijana tulieni kwanza mpeni nafasi.
JOSHUA: As-al (nauliza)
HAMAS 04: Ba-as-al (uliza).
HAMAS 03: Hey! Nani unamfuata?
HAMAS 05 alikua pembeni akiongea na simu na alimjulisha mtu aliekua akiongea nae alisema kwamba 'Hafahamu kiarabu' yaani alimueleza kwamba Joshua hafahamu kiarabu.
JOSHUA: Mercy (akimaanisha nioneeni huruma).

Video ile Joshua alitoa maneno mawili tu moja la kiarabu 1: As-al (nauliza) lingine la kiingereza 2: Mercy (huruma).

-Kutoielewa Lugha ya kiarabu, Ameshindwa Kujitetea (Kwasababu kulikua na nafasi ya kujitetea kama umeangalia video ile kwa makini, lakini alishindwa kwasababu ya lugha
-Kukosa Hata Vitambulisho vyake
-Baadhi ya Mavazi yake Kuwa na viashiria vya Kijeshi Inasikitisha Sana wakamuua.

Kifo hiki kinatandwa na ubaguzi wa rangi kwa asilimia 70%

View attachment 2846404

Yote kwa yote inasikitisha kumuona akichomwa visu usoni na kupigwa risasi, hakuwa hata Muisraeli. Haikuwa lazima kabisa kumuua.
Picha hii inasambaa kuashiria kwamba huyu ni Joshua akiwa katika gwanda za IDF, rangi ya kidole ni kutokana na mwanga mkali wa taa za gari ya jeshi.

View attachment 2845967
Muongo na mzushi wewe, picha tu inaonyesha ji photoshop, huna huruma kwa bongo mwenzio loh... Ubaya huyu na hao hamas unaowwalinda mtaenda nao motoni... Hii damu ya Joshua iwe juu yako na wote wanaoshabikia uzushi kama huu...!
 
Vita havina macho ukishakuwa uwanja wa damu tegemea chochote
 
Hvii inakuwaje mtu unaua mwenzio kikatili hivi au kwa sababu mweusi ?hebu fatilien kwa kina huyo kijana ni nani najuta sana kuangalia hiyo video halaf et wanasema Mungu Mkubwa?Mungu huyu huyu anaekataa kuua laa!
Peleka na wewe kipunye chako ukaone cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom