Umesoma ukaelewa wapi nimesema mjane anamgao mkubwa watoto ndo wana mgao mkubwa hao wadogo kushinda wakubwa hizo zinazobaki ndo wanagawana jacky anamgao wake hata kama ni 1% nae yupo kwenye urithiUongo, nakubaliana na ww kuwa watoto wana mgao mkubwa ila syo mjane, mjane ana mgao wa kawaida tu
Mengi na ujanja wote kaenda jenga mtoniNyumba atabaki nayo wale watoto wakubwa wa marehemu I don’t think kama wataitaka ile nyumba kwanza imewekwa Alama ya X ni moja kati ya nyumba zinazotakiwa kuvunjwa ipo kwenye mkondo wa mto
Jameni tuelewane!kwanini mzee unaoa binti mdogo vitu vingine wanaume tunajitakia.
tunajua kabisaa kumridhisha ni ngumu kuoa binti mdogo ni ubinafsi nakumtesa huyoo binti kwa manyege.
Kitu nilichokiona mpaka sasa serikali na wanasheria watamgeuka huyu mwanamke sheria zitapindishwa vya kutosha maana wengi hawajafurahia kifo cha ghafla cha mzeeHiyo Kesi itaisha haraka Sana kwasababu Mke mkubwa wa Mengi marehemu ana haki kuliko huyu Kylin aliekuja Mali zikiwa zimechumwa Tayari. Kylin hapewi kitu wale watoto watapewa wakapewa kiasi Kwa huruma ya watoto wakubwa Wa Mengi
Umesoma ukaelewa wapi nimesema mjane anamgao mkubwa watoto ndo wana mgao mkubwa hao wadogo kushinda wakubwa hizo zinazobaki ndo wanagawana jacky anamgao wake hata kama ni 1% nae yupo kwenye urithi
Iyo vita usishangae nayeye ikamuondoa duniani akamfuata mzee......kilimanjaro hatoki boya yani umpe urithi demu wa nje ya moshi kisa ****Kwanini ni ngumu na alikuwa Mkewe na wamezaa ,,
Binafsi nisingependa kuona huyu bidada akipata chochote maana hajashiriki katika kuvitafuta hata kidogo, Lakin wanawe wanapaswa kuangaliwa sana sana .
Asipate chochote ili kukomesha hii tabia ya wadada kutaka kuolewa na wazee ili warithi mali maana naamini hakumpenda Mzee wetu
Tatizo ndo hivo inasemekana Mzee alisha muandika kwenye urithi .Kwahiyo anaweza kwenda mahakamani kudai hilo.
Ni ngumu sana pia watoto wakubwa wa Mzee wakubali Jack awe mkurugenzi mpya na wao wawe chini yake ni ngumu sana hapa patapiganwa vita vyote hata vya ndumba na live.
Dada yetu huyu atapitia wakati mgumu sana kwenye maisha yake dhid ya hawa ndugu zangu wachagga wa machame ,,
Tusubiri mda ni jawabu zuri
Mgao huo hauhusishi hizo mali, inahusisha cash, hakuna mali aliyochuma naye... zote kazikuta[emoji3]. Bahat mbaya matajiri hawana cash, na kama ipo kiduchu
Ila warithi wake wana haki...ambao ni watoto wake hvyo nae kama aliandika kuhusu mirathi yake automatically Mali zitaangukia kwa watoto wake...
Anyway haya ni mambo ya kifamilia Ila kwa vyovyote itakavyokuwa watakaofaidika wa kwanza watakuwa watoto wakubwa wa marehemu kisha huyo Jacky na watoto watafuata.
Kwa sheria yawapi unaijua sheria wewe hata wangefanya kazi miaka200 hao washakuwa wakubwa wanajitegemea wenye urithi mkubwa ni watoto wa jacky hakuna huruma ya mtu hapoKwani klyin ana haki gani . Unajua Mali yote kaikuta . Mali yote alitafuta Mzee Mengi na Mkewe mkubwa ambaye ni marehemu na pia hao watoto wake wakubwa wemefanya kazi ya kuikuza hiyo kampuni ya Mzee Mengi . Kylin asubiriage huruma ya wale watoto mapacha. Yeye Kylin Hana chake
Miaka5 ya ndoa unadhani hana mchango wake jifariji sasa hapo ndo maana nikasema hata kama ni 1% nae yupo kwenye urithi kisheriaMgao huo hauhusishi hizo mali, inahusisha cash, hakuna mali aliyochuma naye... zote kazikuta[emoji3]. Bahat mbaya matajiri hawana cash, na kama ipo kiduchu
Iyo vita usishangae nayeye ikamuondoa duniani akamfuata mzee......kilimanjaro hatoki boya yani umpe urithi demu wa nje ya moshi kisa ****
Mpendwa, yaani nimejikuta na mm mwanaume mzimea naanza kufatilia mambo ya udaku....Bongo sihami,wallah. Mambo ni mengi mda ni chache. I hate social medias.
Hahahhah yule waziri kijana mtanashati .Madam alimzawadia kitumbua waziri kijana wa enzi zile. Madam na Klyn walikua ma best, mzee hakwenda mbali.
Hayo ndiyo mambo ya mujini.