Mengi aliuguzwa na mercy mkewe wa Zamani Baada ya stroke.huyu jack alikuwa mlevi tuuu.mengi alichanganyikiwa mkewe alivyokufa.jack hakualikwa ,
Mkuu nakusoma ila kuna changamoto ambazo ni ngumu kuzifahamu kabla hujafikia umri husika.kwanini mzee unaoa binti mdogo vitu vingine wanaume tunajitakia.
tunajua kabisaa kumridhisha ni ngumu kuoa binti mdogo ni ubinafsi nakumtesa huyoo binti kwa manyege.
Mm Jana niliuliza kuwa mastaa hawaliii? Kweli jack pale airport alistahili kuzimia, nashangaa leo waremavu wanazimia Jacky katulia tuliiiiii
Nimekipata vyema sasa Mkuu .Asante kwa ufafanuzi .
Mara nyingi Mke wa kwanza wa mwanaume anakuwaga na uchungu na mumewe ukizingatia kama wametoka mbali,,sio hawa wa make up box na kingereza cha so so
Networth sio?
Asante mkuu
Kapuya ni aged kuliko Mengi...!kwanini mzee unaoa binti mdogo vitu vingine wanaume tunajitakia.
tunajua kabisaa kumridhisha ni ngumu kuoa binti mdogo ni ubinafsi nakumtesa huyoo binti kwa manyege.
Tunaoa tuu mkuu tufanyaje sasa unadhaniNdio maana sitaki kuoa kwa upuuzi kama huu..
Yaani Mengi na hela alizokuwa nazo bado anachitiwa..vp kuhusu watu wa hali ya chini
Ni kuzalisha na kupata watoto...inatoshaTunaoa tuu mkuu tufanyaje sasa unadhani
Ulivyo na akili fupi unaamini kila linaloandikwa humu si ndyo?
Hao hawafai kabisaMimi naogopa sana wanawake wa mjin tena wale wenye uzungu zungu na kingereza cha "is" na "was"
Mzee alikosea sana ....alishindwa kuhimili tamaa za kichwa chake cha chini hat I'm a eat ameacha doa kubwa sana katika family yake .... mtu aliye pambana miaka nenda rudi kwaajili ya kujilimbikizia ukwasi wa kutosha na heshima katika jamii licha ya elimu na IQ kubwa aliyonayo Mwisho wa siku akaenda kujiingiza kwenye mambo ya kipuuzi kabisa ambayo yalistahiki kufanywa na mwana bongo flavor ....leo hii athari yake inatak kuwa maliza watu
Kama mzee alifanya hivo atakuwa alitumia busara zake sana na elimu ili kuepesha ugomvi baade.
Hivi kwanini wanawake wanaaminigi kuwa mwanaume ndo ataanza kufa kwanza ndo afuate yeye.
Mercy alikuwa na 75 asilimia ya mali na nina dhani hata kabla hajafa walikuwa na kesho mahakamani yeye na mumewe hivyo 25 ndiyo za MengiYani watu wote humu hamjui mnachokiongea mmekalia chuki tu kuongea kwa mihemko hata sheria hamjui kwa taarifa yenu kisheria wale watoto wadogo ndio wanaurithi mkubwa kushinda wote wale wana 50% hizo zinazobaki ndo wanagawana wakubwa na mjane alieachwa watoto wanapewa urithi mkubwa kwasababu hawajitegemei bado wadogo ndo maana hata Magu aliwapa watoto wa jacky rambi rambi hamjiuliz kwanini hakumpa yule kijana punguzen chuki kuongea msichokijua
Member mpya huyo. Ka-join kwa special mission....bila shaka ni kutoka ndani ya familia kabisa..Naona mmeanza kuachia moja moja
Hii technique aliutumia Rollin Stone alpoachana na mke wake. Alimuoa kwenye visiwa vya Fiji kumbe kwa sheria za Uingereza walikoachania ndoa haijulikani. Jamaa aliingia kutoa children maintenance tu.Suala la mirathi ya Mengi sio rahisi kama wengi tunavyofikiria, kumbuka ndoa yake na Jacky ilifungwa nje ya TZ, kwa iyo hapo kuna suala la sheria za nchi gani zitatumika kwenye mirathi, Kyle alipofunga ndoa au TZ kwenye Mali?
Kama sheria za TZ zitatumika, Je watatambua sheria za nchi ambayo mjane na marehemu walifunga ndoa?
Itapendeza wanasheria wetu wakitufungua macho kwenye hili ili na wengine wapate elimu wanaotaka kufunga ndoa kwenye foreign jurisdictions.
Mercy was smartMercy alikuwa na 75 asilimia ya mali na nina dhani hata kabla hajafa walikuwa na kesho mahakamani yeye na mumewe hivyo 25 ndiyo za Mengi
Katika 25 ndiyo wagawane watoto wote na mjane lakini siyo kile alichochuma Mercy
yeye labda atulie tu aise maana akileta kimbelembele tu hata kumpoteza hawashindwi ujueKwani hela anapewa na wachaga ama Mengi alishaandika kila kitu?
Kyln alikuwa akijipost mwenyewe.Na wewe pitia instagram au twiter ya Mengi ka utaona anampost kila mda
Ivi bidada alilazimisha kuolewa?Hivi huyu bidada alishawahi kwenda Machame hata kusalimia?
Sidhani kama huyu dada kama anamaelewano mazuri na watoto wa mke mkubwa.
Binafs huwez niambia Jack n mwanamke wa thamani ,angekuwa wa thaman asingekubal swaga za Mzee . Huyu alimpendea mzee wetu mali