Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,365
- 2,732
Mengi aliuguzwa na mercy mkewe wa Zamani Baada ya stroke.huyu jack alikuwa mlevi tuuu.mengi alichanganyikiwa mkewe alivyokufa.jack hakualikwa ,
Nimekipata vyema sasa Mkuu .Asante kwa ufafanuzi .
Mara nyingi Mke wa kwanza wa mwanaume anakuwaga na uchungu na mumewe ukizingatia kama wametoka mbali,,sio hawa wa make up box na kingereza cha so so