'Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu...........................................hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kufar !
Qur'an: 39:3.
Aiseeeh .... sasa walianzisha jambo la maana, wao wakabaki na upuuzi!
Ndo kusema Mapapa wa Vatikani waliwafundisha Waislaam kuswali?
---------, Papa ni jina la cheo cha taasisi wanazosimamia, office zao ndio zinatunza siri ya mikataba hiyo...
Kumbuka enzi za utawala wa Roma, Israeli ilikuwa na nguvu sana....ili kuipunguza nguvu ilibidi kanisa la Roma lianzishe dini mbadala kwa kuwatumia waarabu...walianza hivyo kwa kumuotesha ndoto feki Mtume Mohammed..
Unajua uhusiano wa Fatema wa waislam na utume wa Fatema wa kanisa Katoliki?
Uje nikupe madini zaidi mkuu, :sly:
Yeah ni kweli kabisa, ila inategemea ni.mwenyezi Mungu anaezungumziwa...
Sometimes ni ngumu kuukabili ukweli!
---------, Papa ni jina la cheo cha taasisi wanazosimamia, office zao ndio zinatunza siri ya mikataba hiyo...
Kumbuka enzi za utawala wa Roma, Israeli ilikuwa na nguvu sana....ili kuipunguza nguvu ilibidi kanisa la Roma lianzishe dini mbadala kwa kuwatumia waarabu...walianza hivyo kwa kumuotesha ndoto feki Mtume Mohammed..
Unajua uhusiano wa Fatema wa waislam na utume wa Fatema wa kanisa Katoliki?
Uje nikupe madini zaidi mkuu, :sly:
Hata uwe dini gani, lazima upate baraka za roma kama kiongozi, ni taasisi kubwa, madhehebu yote ya kikristo ni matawi ya roma!
Hata KIKUWETE anajua hilo!
Sasa utaona watu wanakuja na povu kibao!
Unamsumbua mama wa watuCc. Faizafox
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀Roma wana nguvu
Ova
Faiza akiiona hii picha anaweza kujilipua kabisa hahaba🤣🤣🤣🤣