Msanii sana yule, sio wa kutiliwa maanani.Hahahaha naona mzee wa Msoga anafundishwa jinsi ya kutunza kumbu kumbu hahahaha
Anajidai kuwaaminisha watu kuwa wasichanganye dini na siasa kuwa ni hatari ana sahau miaka yote utaeala wake alikuwa anatumia mgongo wa dini kutwala…
Amesahau alimtumia hadi lipumba kuzunguka misikitini kupata kura za Waislam hahahaha
Jk anatakiwa kumsaidia Mama Abdul kujibu hoja za bandari si kuwatisha watu
Atajivalisha mabomu atulipulie server ya JF[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Faiza akiiona hii picha anaweza kujilipua kabisa hahaba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kanisa Katoliki linaitawala Dunia indirectly.
Hiki ni kipindi cha Papa Benedicto VI. Na Mheshimiwa akiwa ni Rais wa nchi.Hii ni lini?
Hakuna kupinga hapo labda ajuza Fayza FoxKanisa Katoliki linaitawala Dunia indirectly.
Yeye mwenyewe hawezi kupinga kwanza inasemekana kuwa Uislamu ulianzishwa na Katoliki kwa lengo fulani hivi.(according to sources including ex-muslims).Hakuna kupinga hapo labda ajuza Fayza Fox
'Kusichanganye dini na siasa..... Mimi naruhusiwa kufanya hivyo Ila nyinyi hehehe he nyinyi he he he hamruhusiwi kuchanganya dini na siasa'Na wajiulize maana ya kubusu pete huwa ni nini..?
Direct submission hio ila wapo kenge wanaona waraka wa TEC hauna nguvu, aya tutaona 😂
Hii hesabu ya wapi?Tanzania waislam ni wengi kuliko wakristo..
Kwenye mafunzo yao ya KarateHii hesabu ya wapi?
Hahahahaa'Kusichanganye dini na siasa..... Mimi naruhusiwa kufanya hivyo Ila nyinyi hehehe he nyinyi he he he hamruhusiwi kuchanganya dini na siasa'
Wengine huwa wana bishana kwa kutojua nini anabishania sawa na wana ccm wanaoshabikia mkataba wa bandariYeye mwenyewe hawezi kupinga kwanza inasemekana kuwa Uislamu ulianzishwa na Katoliki kwa lengo fulani hivi.(according to sources including ex-muslims).
Fuatilia Channel ya YouTube ya Ex-Muslim Nabi Asli utagain sana.