Picha: Jakaya Kikwete akibusu mkono wa Papa Benedict

Msanii sana yule, sio wa kutiliwa maanani.
 
JK amehudumu sana .....na kitubio ...sana mno hata jina analo .....JK anaujua ukatoliki sanaaa
 
I wish that old man ( NYERERE ) came back from heaven and hit out this bullshit from C.C.M members.
 
Hakuna kupinga hapo labda ajuza Fayza Fox
Yeye mwenyewe hawezi kupinga kwanza inasemekana kuwa Uislamu ulianzishwa na Katoliki kwa lengo fulani hivi.(according to sources including ex-muslims).

Fuatilia Channel ya YouTube ya Ex-Muslim Nabi Asli utagain sana.
 
Na wajiulize maana ya kubusu pete huwa ni nini..?

Direct submission hio ila wapo kenge wanaona waraka wa TEC hauna nguvu, aya tutaona 😂
 
Tanzania waislam ni wengi kuliko wakristo..
 
Na wajiulize maana ya kubusu pete huwa ni nini..?

Direct submission hio ila wapo kenge wanaona waraka wa TEC hauna nguvu, aya tutaona 😂
'Kusichanganye dini na siasa..... Mimi naruhusiwa kufanya hivyo Ila nyinyi hehehe he nyinyi he he he hamruhusiwi kuchanganya dini na siasa'
 
Yeye mwenyewe hawezi kupinga kwanza inasemekana kuwa Uislamu ulianzishwa na Katoliki kwa lengo fulani hivi.(according to sources including ex-muslims).

Fuatilia Channel ya YouTube ya Ex-Muslim Nabi Asli utagain sana.
Wengine huwa wana bishana kwa kutojua nini anabishania sawa na wana ccm wanaoshabikia mkataba wa bandari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…