PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

Nilishawahi kutana naye pale JB Bellmonte. NSSF HQ POSTA Kulikuwa na Bar pale. Yeah ni PhD holder alafu ni Dr Uingereza aisee
Gone are the good days ID yangu ya zamani ilifyekwa ila majukwaa mengi yamepwaya baada ya wakongwe kujitoa kwa kuacha kuchangia kutokana na kundi rika jipya lenye utamaduni wa matusi na kebehi kuliko hoja hii inatokana na mfumo wa elimu wanaoutumia kwa sasa.
 
Gone are the good days ID yangu ya zamani ilifyekwa ila majukwaa mengi yamepwaya baada ya wakongwe kujitoa kwa kuacha kuchangia kutokana na kundi rika jipya lenye utamaduni wa matusi na kebehi kuliko hoja hii inatokana na mfumo wa elimu wanaoutumia kwa sasa.
Kweli Mkuu lakini naona huu uzi umesababisha Baadhi ya I'd kutia neno kidogo kama vile Chivundu
 
Sema nyie hamzeekagi ,. Mnakuwaga na visura na miilli ya kitoto toto,.

Sisi sasa😒
Jitunze mdogo wangu, eat healthy,jipende,jichague wewe kwenye kila kitu halafu kuwa na hela zako binafsi...utabaki young forever
 
Hongera,

Hapa sasa hivi tunaweza kubishana kwa vikumbo na watoto umri wa kuwa sawa na wanetu kabisa 😂😂😂.
Hahaha.
Asante mkuu.

Mimi ninaheshima kubwa sana kwa IDs kongwe. Najua ni kaka na baba zangu.

Nilianza kutumia jamiiforums nikiwa kidato cha tatu mwaka 2017. Hiyo ilikuwa ni baada ya kuwa kila nikiuliza maswali Google search, link za mada za jamiiforums zilizojadili maswali hayo zinajitokeza. Hivyo, nikifungua links najikuta jamiiforums.

Basi nikajikuta napendezwa zaidi na jukwaa la Jamii intelligence kutokana na tabia yangu ya kupenda udadisi.
 
Gone are the good days ID yangu ya zamani ilifyekwa ila majukwaa mengi yamepwaya baada ya wakongwe kujitoa kwa kuacha kuchangia kutokana na kundi rika jipya lenye utamaduni wa matusi na kebehi kuliko hoja hii inatokana na mfumo wa elimu wanaoutumia kwa sasa.
daah kweli aisee umenikumbusha mbali sana. Zilikuwa zinatumwa nondo humu balaa. Namkumbuka mkuu mmoja akitumia jina la echolima sijamuona humu tena. Hata viongozi wakubwa serikalini walikuwepo humu tena wengine wakiweka wazi tu majina yao. Mijadala ya siasa kijamii ilikuwa ya moto sana. Miaka imeenda maisha yamebadilika sana. Hata ivyo Jf bado na itaendelea kubaki the only reliable source of credible information for long long long time to come.
 
daah kweli aisee umenikumbusha mbali sana. Zilikuwa zinatumwa nondo humu balaa. Namkumbuka mkuu mmoja akitumia jina la echolima sijamuona humu tena. Hata viongozi wakubwa serikalini walikuwepo humu tena wengine wakiweka wazi tu majina yao. Mijadala ya siasa kijamii ilikuwa ya moto sana. Miaka imeenda maisha yamebadilika sana. Hata ivyo Jf bado na itaendelea kubaki the only reliable source of credible information for long long long time to come.
Yule ni mwanajeshi mstaafu pia pengine sababu ya umri kapumzika kuchangia humu, ni miongoni mwa wanajeshi waliopigana vita vya Uganda 1978- 1979.
 
Yule ni mwanajeshi mstaafu pia pengine sababu ya umri kapumzika kuchangia humu, ni miongoni mwa wanajeshi waliopigana vita vya Uganda 1978- 1979.
yeah alikuwa one of frontliners kwenye ile vita alishusha episodes za kibabe sana za ile vita hadi kuna wakati unaweza kujisahau ukafikiri unacheki movie hivi
 
Maswali kuhusu India. Niwie radhi kwa ujinga wangu.

Nimesoma na Wahindi. Nimefanya kazi kwa ukaribu na Wahindi. Bado nafanya kazi na Wahindi.

Yote hayo ni nje ya India.

Wahindi wanajulikana kwa mapenzi yao ya kutumia viungo vyenye harufu kali sana.

Ukienda kwenye nyumba zao wanakoishi, ni harufu ya viungo tu….binzari, mdalasini, n.k.

Kutokana na utumiaji wao huo wa viungo kwenye vyakula vyao, hata harufu za miili yao ni kali na mbaya sana, hususan kwa wale ambao si wasafi.

Huko India, sehemu zote huwa zina harufu ya curry? Hata ukiwa barabarani harufu ya curry ipo?

Kwenye vyombo vya usafiri je? Na kwenyewe kumejaa harufu ya curry?
Ni kweli yote uyasemayo ila kunuka makwapa ni kama hapa Bongo tu kwani kuna wengi wananuka makwapa na wachache wanajuwa usafi wa mwili.
 
Back
Top Bottom