Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Na nyash ya kuanzia maisha iwepo 😹😹Chamsingi wawe mademu wenye hela tu, hoe hae siwataki🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyash ya kuanzia maisha iwepo 😹😹Chamsingi wawe mademu wenye hela tu, hoe hae siwataki🤒
Naangalia PM za zamani hapa aisee, nimeona PM za Ben Saanane Dah 😓😓😓Ona sasa kunibania riziki🧐,.
Sema ukute hata alishakufaga zamani😂😄
Kwajinsi mnavyoihadithi JamiiForums kweli imetoka mbali
Huyo ben ningekuwepo enzi hizo ningeomba usajili ni mwanaume jasiri sana.!!Naangalia PM za zamani hapa aisee, nimeona PM za Ben Saanane Dah 😓😓😓
Kweli, Na D for Dabliu 😂Duuh,. Ila kuna watu ni wazamani sana humu aisee 2006 parefu nyie
Sidhani kama nlikua najua vingine ukiachana na jina langu,. Labda na A for Apple😂😂
Aisee nazisoma hapa alikuwa ananichana makavu na alikuwa anamsifia Mheshimiwa Nape Nnauye coz wote walisoma India 🤣🤣🤣Huyo ben ningekuwepo enzi hizo ningeomba usajili ni mwanaume jasiri sana.!!
Nimepitia nyuzi zake zilikuwa za moto sana halafu sio muoga na hana nidhamu ya woga.!! 😻
Sie ilikua D for Dog😂Kweli, Na D for Dabliu 😂
Basi mwalimu Kamwela alitupanga, mana alivotoka hapo tukahamia capital 5 na small 5Sie ilikua D for Dog😂
Nipe kitengo Mimi basi maana Mimi ni Jasiri sana halafu ni gentleman 😍😍😍Huyo ben ningekuwepo enzi hizo ningeomba usajili ni mwanaume jasiri sana.!!
Nimepitia nyuzi zake zilikuwa za moto sana halafu sio muoga na hana nidhamu ya woga.!! 😻
😹😹😹 Mi pasua kichwa siku mbili hunitaki tena 🤣Nipe kitengo Mimi basi maana Mimi ni Jasiri sana halafu ni gentleman 😍😍😍
Hahah .Basi mwalimu Kamwela alitupanga, mana alivotoka hapo tukahamia capital 5 na small 5
Nipe hiyo nafasi nikunyooshe sasa😹😹😹 Mi pasua kichwa siku mbili hunitaki tena 🤣
Linatakiwa mwanaume kweri kweri
😹😹😹 Ningemchokoza mpk akome, bahati yake sijamkuta.!!Aisee nazisoma hapa alikuwa ananichana makavu na alikuwa anamsifia Mheshimiwa Nape Nnauye coz wote walisoma India 🤣🤣🤣
Aisee labda mngeendana😹😹😹 Ningemchokoza mpk akome, bahati yake sijamkuta.!!
Namshukuru MUNGU kijana wangu umekuwa sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Saaàana sana, aiseeee ilikua inatisha Sana! Scandals zilikua na full evidenceEnzi hizo kila mtumiaji anasoma na kuzingatia kanuni za jukwaa.
Heshima na kulinda utu vilidumiahwa miongoni mwa users
Halafu mzee Masanilo niliwahi kuambiwa ni PhD holder kabisa hahaha..Mkuu DR Mambo Jambo umekumbusha vitu vingi sana aisee ni kweli huu mtandao tuna kila sababu ya kujivunia cha nyumbani 😀😀😀
Mijadala ya nyakati zile ilikuwa ni moto kweli na enzi nilikuwa sijapevuka vya kutosha miaka 23,24 hivi. Nakumbuka kuna kigogo mmoja wa kuitwa Barubaru aisee huyu ni mtu mzito sana hauwezi kudhania nilikuwa namchokonoa na hoja mbovu mbovu mimi na Baba Mchungaji Masanilo.
Kuna siku akajitambulisha yeye ni Dr wa Uchumi na Fedha na anafanya kazi Gulf Oils huko duniani akatoa na contacts zake za Tanzania na kwao ni Zanzibar, Mimi nilikuwa kule nikapiga zile namba na alipokea Mpambe wake akanipa direction alipo aisee nikaenda pale Serena Hotel nilikutana na Makomandoo wa JWTZ wanapalinda na alikuwa na kikao na Mheshimiwa mkubwa sana wa Serikali. Aisee mbona nilikimbia 🤣🤣🤣
Kuanzia siku ile nikajifunza adabu humu mitandaoni sio pakuchukulia poa.
Duuh, hongera mdogo wetu.Taratibu basi wasije wakasikia🤒😂
ILa wewe 2013 mie niko S.t.d 6,. Wewe age mate kabisa
Nilishawahi kutana naye pale JB Bellmonte. NSSF HQ POSTA Kulikuwa na Bar pale. Yeah ni PhD holder alafu ni Dr Uingereza aiseeHalafu mzee Masanilo niliwahi kuambiwa ni PhD holder kabisa hahaha..
Mkuu leo huko PM nimekutana na zile PM za moto unaukumbuka ule waraka wa USA kwenda kwa JK? 🤣🤣🤣Saaàana sana, aiseeee ilikua inatisha Sana! Scandals zilikua na full evidence