Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Sijambo shikamoo🤓Hujambo mdogo wangu? 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijambo shikamoo🤓Hujambo mdogo wangu? 😀😀😀
Marahaba mdogo wangu 😂😂😂Sijambo shikamoo🤓
Muone😃Marahaba mdogo wangu 😂😂😂
JF ni mlima sheikh.Jambo Chat kule Mjini Yahoo..
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama raraa ree😂raraa reree yeye ni mzee wa kutembeza like 😅tu mchangiaji bubu
Ila wewe age mate bhana,. Drs la 3 means ulikua na miaka8 hujanizidi bhana😄mimi nikiwa darasa la 3.
Kama hivyo sawaHapana kwa I'd hii nilikuwa na 23
Kama hivyo sawa,Hahahaa wengine tumeanza kuwa na access na mitandao ingali tukiwa wadogo sana.
Jirani si utanipea 😹Hahahha
Sasa mdogo wangu upo 20th floor unanivimbia mkubwa wako nipo 35th+ floor hiyo ni kweli au dharau??? 🤣🤣🤣Muone😃
Duh nipo advanced aiseee kweli humu tumechanganyika na vifarangamimi nikiwa darasa la 3.
Chaajabu saiv unamilik maex wengi kuliko dada zako wa tisini, nabarabara imekua highway with four waysDuuh,. Ila kuna watu ni wazamani sana humu aisee 2006 parefu nyie
Sidhani kama nlikua najua vingine ukiachana na jina langu,. Labda na A for Apple😂😂
😀😀😀Moderator wawawekee vitufe special vya kuwatambua kma ni kundi maalumu lenye kuheshimikaSikuizi nitakua before nijibu comment ya mtu inabidi nizame kwanza mwenye profile yake nione amejoin mwaka gani,. Nisije kubaruzana na mzazi nipate laana🤒
Em niambie kwanza 2013 we ulikuwa wapi mkuu😄😂
Duh!😀😀😀Moderator wawawekee vitufe special vya kuwatambua kma ni kundi maalumu lenye kuheshimika
Japo mm wanaweza kuwa babazangu babaang kastaaf 2006 akiwa na miak 55
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Enzi hizo naitwa NANYUPU
Nina uzima tele babu, nimekumiss wallahNa weww Pia Mama Pretty Mama pretty
Mzima Weye 😀😀