PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

PICHA: Je Unaikumbuka Jambo Forums? Ulikuwa Wapi enzi hizo?

😀😀😀Moderator wawawekee vitufe special vya kuwatambua kma ni kundi maalumu lenye kuheshimika
Japo mm wanaweza kuwa babazangu babaang kastaaf 2006 akiwa na miak 55
Yeah humu kuna watu wazima sana aisee,.
Mods wawawekee utofauti tusije kutukana wazazi tulaanike😃
 
Mkuu DR Mambo Jambo umekumbusha vitu vingi sana aisee ni kweli huu mtandao tuna kila sababu ya kujivunia cha nyumbani 😀😀😀

Mijadala ya nyakati zile ilikuwa ni moto kweli na enzi nilikuwa sijapevuka vya kutosha miaka 23,24 hivi. Nakumbuka kuna kigogo mmoja wa kuitwa Barubaru aisee huyu ni mtu mzito sana hauwezi kudhania nilikuwa namchokonoa na hoja mbovu mbovu mimi na Baba Mchungaji Masanilo.

Kuna siku akajitambulisha yeye ni Dr wa Uchumi na Fedha na anafanya kazi Gulf Oils huko duniani akatoa na contacts zake za Tanzania na kwao ni Zanzibar, Mimi nilikuwa kule nikapiga zile namba na alipokea Mpambe wake akanipa direction alipo aisee nikaenda pale Serena Hotel nilikutana na Makomandoo wa JWTZ wanapalinda na alikuwa na kikao na Mheshimiwa mkubwa sana wa Serikali. Aisee mbona nilikimbia 🤣🤣🤣

Kuanzia siku ile nikajifunza adabu humu mitandaoni sio pakuchukulia poa.
 
Mkuu DR Mambo Jambo umekumbusha vitu vingi sana aisee ni kweli huu mtandao tuna kila sababu ya kujivunia cha nyumbani 😀😀😀

Mijadala ya nyakati zile ilikuwa ni moto kweli na enzi nilikuwa sijapevuka vya kutosha miaka 23,24 hivi. Nakumbuka kuna kigogo mmoja wa kuitwa Barubaru aisee huyu ni mtu mzito sana hauwezi kudhania nilikuwa namchokonoa na hoja mbovu mbovu mimi na Baba Mchungaji Masanilo.

Kuna siku akajitambulisha yeye ni Dr wa Uchumi na Fedha na anafanya kazi Gulf Oils huko duniani akatoa na contacts zake za Tanzania na kwao ni Zanzibar, Mimi nilikuwa kule nikapiga zile namba na alipokea Mpambe wake akanipa direction alipo aisee nikaenda pale Serena Hotel nilikutana na Makomandoo wa JWTZ wanapalinda na alikuwa na kikao na Mheshimiwa mkubwa sana wa Serikali. Aisee mbona nilikimbia 🤣🤣🤣

Kuanzia siku ile nikajifunza adabu humu mitandaoni sio pakuchukulia poa.
Hahah,. Kwanini ulikimbia sasa😄😂
Ungebaki tu muyajenge,. Ungeshapata teuzi na wewe
 
😀😀😀
Akili zilikuwa hazijaiva aisee, vitengo vingi nilikuwa naombwa niajikiwe aisee. Maana watu wa IT enzi zile kule walikuwa hawajiwezi kabisaa
Ona sasa,. Saizi ungekuwa mbali sana😄😄😂,.

Em nitajie kwan i'd yake mie nikalambe asali,. Usishindwaje kuitumia fursa🤓
 
Ona sasa,. Saizi ungekuwa mbali sana😄😄😂,.

Em nitajie kwan i'd yake mie nikalambe asali,. Usishindwaje kuitumia fursa🤓
Napenda uhuru zaidi kuliko kutumwa na mtu. At that alikuwa ni Mkurugenzi wa fedha na Utawala Gulf Oils huko United Arab Emirates. Achana naye nadhani hata namba yake ya Zantel iko PM
 
Napenda uhuru zaidi kuliko kutumwa na mtu. At that alikuwa ni Mkurugenzi wa fedha na Utawala Gulf Oils huko United Arab Emirates. Achana naye nadhani hata namba yake ya Zantel iko PM
Ona sasa kunibania riziki🧐,.
Sema ukute hata alishakufaga zamani😂😄
Kwajinsi mnavyoihadithi JamiiForums kweli imetoka mbali
 
Back
Top Bottom