Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
kuna jamaa alikuwa anaitwa maralia nani sijui walimpiga ban mwana ukome ile hadi leo hawajaitoa
Malaria Sugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna jamaa alikuwa anaitwa maralia nani sijui walimpiga ban mwana ukome ile hadi leo hawajaitoa
Hahaaa ni mbali lakini si mbali kivile.2006 mbali
Sijawahi pigwa BAN. ✔️
Huko India, sehemu zote huwa zina harufu ya curry? Hata ukiwa barabarani harufu ya curry ipo?
Kwenye vyombo vya usafiri je? Na kwenyewe kumejaa harufu ya curry?
Nakumbuka ilikuja baada ya raha.com
Mji ulikuwa mdogo huu😅
Nyani mkongwe. Utakuwa ushakwepa mishale mingi sana.Nilikuwa hapa hapa.
Hahahaa najua Wachina nao personal hygiene ni changamoto.Bro kama unaona Wahindi wananuka (samahani kwa Wahindi), basi haujakutana na Wachina na nchi yao (samahani kwa Wachina)
You know it! I’m from the old school of hard knocks.Nyani mkongwe. Utakuwa ushakwepa mishale mingi sana.
😃😃Wee utakuwa age mateWengi tulikuwa latatu B
Ntuzu hiii ya BariadiBut bhebhe Ole ntuzu ama nsukuma wa sehemu khe?
Moshi mjini ipo, marangu mtoni ipo, mwika ipoKicheko pale moshi mjini December niliona ipo wazi
Aisee mkuu kitambo sana nafurahi kukuona tena.Nilikuwa hapa hapa. ✔️
Platinum Member. ✔️
Sijawahi pigwa BAN. ✔️
Dah kitambo sana utoto mwingi tunamshukuru MWENYEZI MUNGU now tumekuwaKumbe ndo wewe?????
Ulikuwa na usanii mwingi
Aisee😂😂Sio kubishana tu hata ukimpea inapenya...life is very funny!
Weeee sema walahi🧐😃😂Hahaha kumbe we ni katoto mwaka huo nipo zangu form one na sketi yangu ya marinda
Hujambo mdogo wangu? 😀😀😀Aisee😂😂
Enzi hizo kila mtumiaji anasoma na kuzingatia kanuni za jukwaa.Kagoda pia na scandals za akina Mramba......hivi vitoto haviijui CCM
AmenShukrani tumeuona...
Uwe wa heri kwako pia Leelee