Picha: Kaburi la Ruge laanza kuchimbwa huko kijijini kwao Bukoba

Iwe buju kaisiki nikonakwenda akanana kange nikushabaigonzi.
 

Sawa
 
La Yesu halikuwa kaburi la kuchimbwa bali lilikuwa Pango!! Mapango yapo tu wazi ila baada ya kuzikwa walisukumia jiwe zito mlangoni ili asiibwe!!
 
Hivi ndege toka south africa ingepeleka mwili wa marehemu bukoba moja kwa moja au mwanza airport kuna tatizo gani?kisha kuagwa na kuzikwa.
Kwa nini uletwe dar kisha tena safari ianze kwenda bukoba?
Wapo ambao watataka kumuaga lkn hawatakuwa na nafasi au wasaa kwenda kumzika Bukoba. No kwa nia njema!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio kiburi cha mwanadamu kinapoishia hata uwe kama tofali au Jiwe shimo linatuusu. Hapo uwa na furahi wanaoshangilia wenzao kuonewa wakijua watabaki Duniani milele RIP kaka Ruge umetutangulia tu
Acha mikwara bana....usitutishe...hata kama tutakufa sio vema kuwa wanyonge....umundu gwamundu....
 
TUBADILIKE MAJUZI FAMILIA ILIKUA INAOMBA PESA ZA MATIBABU LEO HII MICHANGO LUKUKI YA MAZISHI INASAIDIA NINI?WATU WAPO PALE TANGU SIKU YA MSIBA WANAKULA TUU BORA RAMBI RAMBI ZISAIDIE KULIPA MADENI YA UGONJWA NA MAZISHI YASITAFUNE TENA PESA.TUKUMBUKE YA KANUMBA JINSI PESA ILIVYOTAFUNWA MAMA WA MAREHEMU AKABAKI MTUPU
 
Una umri gani?.mbona unauliza vitu vya wazi?

Msiba saivi upo Dar au Bk?
Nyumba ya Ruge aliokua anaishi iko Dar au Bk?
Company yake na wanafamilia wako Dar au Bk?
Kwa hadhi ya Ruge kijamii nahisi ataagwa Leaders pale
Kwa hiyo watu wa kijijini ulipozaliwa au wazazi wako ni wakupelekewa misiba tuu kuzika?
 
Kwa hiyo watu wa kijijini ulipozaliwa au wazazi wako ni wakupelekewa misiba tuu kuzika?
Naomba nikuache mana kusafirisha msiba si jambo geni kabisaa ktk jamii ya kitanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…